Hongereni sana kwa miaka 4! Ila mimi nina swali: zili hatua za mwanzo za urafiki hadi uchumba mlielewana vipi? Au ndo kupitia huyo rafiki hata msg ya kwanza ilipitia kwake!?!?....:confused:
Nami nafaurahi kukuona Kaizer, ni muda mrefu!!
Ni kweli kabisa, nimeona kumbe anajua kikwetu. Ila sikuweza kumaliza kusoma.....sie wa 47, lugha mpya ya short cuts inanishinda!
Stay blessed,
Pole yako. Maana wewe mwenyewe hujui maana ya kuokoka ni nini! Ungeijua, ungeanza kujiuliza maswali baada ya kuona anafanya tofauti na wokovu. Kama aliweza kuikana imani yake ya wokovu au Mungu wake kwa ajili yako, je atashindwa nini kuku-betray wewe??!! POLE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.