Kwa ushauri zaidi yaan usijidai kumuwakia au kujidai unamtetea mama ako. Ww kaa kimya hamisha familia kimya.
Yaan ukitaka umvuruge na akutangaze huna adabu fungua mdomi uanze kutetea familia. Atatangaza kote kuwa umemdharau na unajua jinsi ilivyo kwa sisi watoto kuonekana nje kuwa tumedharau...
Mkuu... wote wanaosema utafte wazee waongee na baba yako, mimi kwa upande wangu naona haitofua dafu maana anaonekana ni mtu ambae hashauriki kabisa.
Baba ako anakuchukia kwasababu unamuwezesha mama na wadogo zako. Kitu ambacho alitaka wahangaike na wasifanikiwe ili yeye aseme amewapa laana na...
Ni sawa ila kwenye ishu ya braza meni sipo kbsaa... yaan hii ishu kwangu ni kama stry.. kwangu haijawah tokea. Kwanza ukikutana na bby anaanza kukuelezea jnc ambavyo hela haitoshi akimaliza hapo huwez hta kuomba usaidiwe kitu. Sasa najiuliza wenzangu wanafanyaje?
Jaman hivi wanaume kama nyie ambao mnahudumia ukweni mpka mnatoa 1m ya biashara mnapatikana wapi?
Maana kwangu hizi ni stry kama za abunuasi au mimi ndio nina gundu?
Waliokuwa wanahitajika ni graduates wa mwaka 2017 na 2018 wenye g.pa kuanzia 3.5 ndo wametaftiwa kazi na internship inategemea na utakayobahatika nayo.
Lakini zaidi ya yote wewe nenda na vyeti vyako original na cv ukajiandikishe ikija kutokea kazi watakujulisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.