Recent content by Kenycrux

  1. Kenycrux

    Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

    Wanakalia machine za watoto Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
  2. Kenycrux

    Hili la Ole-Naiko kuwa Executive Director wa Acacia baada ya kustaafu TIC limulikwe

    Kama Acacia walisema watakutana na serikali kuzungumza TRA walituma credit Note ya nn? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Kenycrux

    Jionee tofauti, Amisi Tambe wa Simba 2013 vs wa Yanga mwaka 2017

    Kwan we unavyoona hata kama siku znaenda mbele wew unaweza ukawa unarudi nyuma Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Kenycrux

    Bajaj ya wajawazito - Ahadi imetimia!

    kwa hyo tukiwachagua safari tena, hizo ahadi zai watatekelez mwaka 2020 october sio?
  5. Kenycrux

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    ila leo kiukweli kachemsha ila tumaini bado halijapoyea
  6. Kenycrux

    Jakaya Kikwete anafanya kinyume na anachosema

    kayasema leo jangwani, aiseee ni noma, huyu mzeee mwacheni apumzke kwa amani au R.I.P
  7. Kenycrux

    Hongera watanzania kwa kumvumilia JK

    katika nyakati tulizoongozwa na mabogasi, basiii nazani ...... imetia fora
  8. Kenycrux

    Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais UKAWA-Mbeya

    sisiem waka kazi kuuuuuuuuuuubwa sana, te te te hilo nyomi ka cdm ndo imetawala miaka 50 kwa mafanikio
  9. Kenycrux

    Mwigulu,Kampeni Meneja wa Magufuli nimeogopa

    nilichogundua,watu hawaumizi tena fikra zao juu ya ccm, hata ije na habari gani mpya ndani ya saa12, yaan mkilala mkiamka imeisha, ko haisumbui, hapo ukawa hata wakijamba hilo swala linaongelewa two weeks. Safari yao ya kupumzika haiepukiki
  10. Kenycrux

    Angalia Tsunami ya Magufuli Mtwara jana

    hivi wananchi wooooote wanaoenda kweny mikutano ya ccm huwa wanauniform kbs, maan kila ninamuona mombea wa ccm, 99% ya hadhira ni wenye t-shirt za chama.hiyo ni imani yangu kuwa watu hao huwa wamebebwa kwa mabasi na kununuliwa.
  11. Kenycrux

    Lowassa sio muarobaini wa matatizo ya Wa-Tanzania

    haijalishi awe mwarobaini au vp, kwan ccm ndo mwarobaini????? wizi wooooote uliowahi kuusikia nchi hii umefanyka chini ya uongozi tulivu na imara wa ccm, sas wew una kipi cha kuitetea ccm???? iwe juu iwe chini lowasa ana kula yangu
  12. Kenycrux

    Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

    01/11/2015 watakuwa na kazi mpya ya kijsogeza kwa ukawa
  13. Kenycrux

    Lema: Heshima kubwa kwa Mungu kumzomea Fisadi Lowassa

    iwe kweli iwe uongo, tunachotaka sisi kwa sasa ni kuitoa tu ccm, yoooote hayo yanasemwa kama ccm ingalkuwa imara tangu mwanzo wasingepata cha kuongea wapinzani.
  14. Kenycrux

    Sitasoma tena gazeti la Mawio

    poleeeeeee
Back
Top Bottom