Recent content by Kenyan-Tanzanian

  1. Kenyan-Tanzanian

    Bunge La 10 Lafunguliwa Rasmi

    "Nani bora kati ya Yanga na Simba?" Marehemu Tanzanian musician Cool James aliuza. Wakuu hayo tuachie wazushi bcoz tunaeza kesha tukibisha. Bunge lilifunguliwa leo rasmi. Kabla ya ufunguo huo vyama hasimu vya ODM na PNU (ikiwa na ODMK) vilifanya mkutano wa wajumbe wao wa pamoja...
  2. Kenyan-Tanzanian

    Raila Apata Mabodigadi Kama PM (mteule)

    Baada ya dhiki faraja.... Siasa zimeanza kuingia tena katika ulingo wa uwiano huku kwa akina watani wenu wa jadi. PNU na ODM zipo mbioni kuhalalisha the Annan Deal huku kimbunga cha siasa motomoto kikionekana kana kwamba kinayeyuka. Yamkini Rais Emilio Mwai Kibaki ameona kwamba sasa yupo kwenye...
  3. Kenyan-Tanzanian

    Tanzania Yasaidia Kuleta Muafaka Kenya

    Brazameni heshima mbele. Leo siku ya furaha na sio karaha jameni. Wakuu, Kwa kweli initiatives za amani hizi zimekuwa toka pembe nyingi tu. Wacha tuseme kwamba kila yakhee amechangia kwa kiasi fulani. Wakiwemo: Raila, ODM, Kibaki, PNU, EU, AU, UK, UA na pia Ujerumani kibinafsi kama nchi...
  4. Kenyan-Tanzanian

    Tanzania Yasaidia Kuleta Muafaka Kenya

    Wamepata Hio uPM unaosema Hume. Raila ni Executive Prime Minister and Leader of Government Business in Parliament. Anateua yeye na kusimamia mawaziri. Yaani he is the Head of Government. Kibaki is the President and Commander-in-Chief of the Armed Forces. Anamteua PM ambaye kwa sasa...
  5. Kenyan-Tanzanian

    Tanzania Yasaidia Kuleta Muafaka Kenya

    SHUKRAN WATANZANIA KWA KUTULETEA AMANI MAONGEZI YA ANNAN YALIKUWA YAMEGONGA MWAMBA LAKINI RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA MH. MKUU WA MAJESHI KANELI JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIINGIA KENYA NCHI HII NA KULETA AMANI. SASA NDIO HUYU AMESIMAMA KATI YA KIBAKI NA RAILA PAMOJA NA ANNANI HAPO...
  6. Kenyan-Tanzanian

    Mamilionea Wa Kenya?

    Wakati sisi wananchi kama siafu tunahangaika kutafuta hali ndani ya dunia ya Mwenyezi Mungu hawa mabwana kubwa, wengi ambao wa jamii fulani Kenya, kweli wanazidi kutafuna matunda ya uhuru si mchezo! Hebu someni wenyewe vile asilimia 80% ya ardhi iliyonzuri inamilikiwa na asilimia 20% ya nchi...
  7. Kenyan-Tanzanian

    99 Tajiri Zaidi Kenya

    Mh. Dar Shukran kwa kunifafanua. Hilo ndilo linitaka kushea na wazee hapa! Mh. MKJJ Ukweli akina mama hawachezi kwenye ligi za kina Richmond. Sijui kama hii inaashiria jinsi economic networks za Africa zingalipo very patriarchal; ziwe halali au batili. Mh. Mzalendo... Hili...
  8. Kenyan-Tanzanian

    99 Tajiri Zaidi Kenya

    The 99 Richest Kenyans 1) .philip ndegwa family (central bank thief) 2) .manu chandaria (ea match co, kaluworks and the 2billion dollaz a year mabati) 3). Simeon nyachea ( kabansora, prime bank) 4) anoop vohra(sarova hotels/athi river mining co / the avenue park estate) 5 . Kentan...
  9. Kenyan-Tanzanian

    Kenya Yaipongeza Sana Tanzania

    Nitashukuru sana hili likifanyika. Naipenda Tanzania na sio tu kiubinafsi ila nikipewa Greencard ya USA au Bongo watasema watakaosema ila mimi Bongo tuu.
  10. Kenyan-Tanzanian

    Did the Internet bring down the PM and his Ministers??

    Nakubaliana nawe mkuu. Kujiuzulu kwa akina EL na Karamagi inakujaa baada wanJF wamekwisha toa analyses kalikalia tuu kuhusu hili ishu la Richmond. Sasa imebaki akina Bilali. Aiseee mpaka kieleweki hapo Benkii Kuu msiwaache hawa mafisadi wapumue. Toka Nairobi twawatakia kila la heri kwenye...
  11. Kenyan-Tanzanian

    Kenya Yaipongeza Sana Tanzania

    Sina neno Mh Mzalendo. Tunashkuru Mungu huku Anaani akiendelea na Peace Talks zake hapa Nairobi. Ndani ya wiki hii wengi wanatumaini kutapatikana na way forward ili Kenya iweze jikomboa kutoka kwa hii political mess iliomo ndani sasa. Kwa maoni yangu, pasipo na haki basi amani hata ikiwepo...
  12. Kenyan-Tanzanian

    Kenya Yaipongeza Sana Tanzania

    Naomba nafasi ili niwapongezeni Watanzania wote popote mulipo duniani. 1. Hongera kwa kuweza kutuonyesha ukomavu wa siasa zenu baada ya presha ya wananchi kumtimua Lowassa na wengineo waliohusika kwenye the Richmond Scandal. 2. Kwa Rais wenu stadi Mh. Jakaya Mrisho Kikwete kuteuliwa kama...
  13. Kenyan-Tanzanian

    Kenya Election 2007: Outcomes

    Wakuu, Nilipitia huko kwenye blogu fulani na nikapata hii interesting yet painful piece iliyoandikwa na kijana fulani anayejipata kwenye hali tata: babake ni wa jamii tofauti na ya mamake. Sijui mnaonaje kwenye issue hili la hawa "in-betweens". Wao ni kabila gani sasa? Yaani wakikimbia huku...
  14. Kenyan-Tanzanian

    Kenya Election 2007: Outcomes

    Hii usemayo sio sahihi. Kibaki won in Central overwhelmingly. He won also in eastern by a narrow margin with other votes going to the province's homeboy Kalonzo. Kibaki was neck-to-neck with Raila in Nairobi but Raila won in this province. Kibaki walso followed Raila closely in North Eastern...
  15. Kenyan-Tanzanian

    Kenya Election 2007: Outcomes

    Place: Parliament, Nairobi Time: Sasa hivi 5.57pm Ajenda: Kofi Anaan azindua rasmi mazungumzo ya amani dhidi ya PNU na ODM. Akiwa na Raila upande wa kushoto na Kibaki kulia. Timu zote mbili zimechagua watu watatu watatu kuwawakilisha kwenye roundtable peace talks hizi zinazoanza...
Back
Top Bottom