Sasa ndugu kama cv inakushinda kuiandaa huko kwenye kazi za watu si ndo utaharibu...cv na cover letter nayo ni sehem ya kuchuja katika swala la interview..ndio maana hata kwenye ajira portal ukikosea/usipoweka cv,cover letter au ukikosea address unaachwa na sababu unapewa..ukisema waangalie GPA...
Kuna smart watch,hizi zina hadi internet so you can google, pia zinakuwa connected na simu so unaweza soma na kujibu texts kupitia hiyo saa..wanahofia unaweza mtumia mtu alie nje maswali then akakusaidia kujibu..
Nilituma hii changamoto ya kushindwa ku apply katika system ya utumishi sehem ya feedback,
Leo nimejaribu imekubali...sasa sijui walifanyia kazi au ni system faults tu ilikuwa japo ilinigomea kitambo kidogo...ila sehem ya academic qualifications ndo bado hakuna optin ya DELETE iliyopo ni ku view...
Hata mimi inagoma na kila kitu kipo sawa...last time ilikubali vzr tu...ila hizi kazi za jana imegoma na sijafanya changes zozote....au wameset gpa kubwa nn ndo mana inatema tu[emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kujua gharama za kulitoa gari bandari ya Dar es salaam lililoagizwa nje(japan) lenye price ya USD2996 na sifa nyingine kama hizo hapo:-
Gari ni mark2 Gx 110 ya 2004 engine CC2000 mileage 55,800
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.