Call for interview Erolink

Call for interview Erolink

hivi yule Dada customer care mwenye nyodo pale erolink masaki bado yupo
 
Hii kampuni nilisikia imefungwa kipindi fulan kwani imerudi tena!? Mana ofisin tulikua na watu wao na sasa wako chini ya kampun ingine si erolink tena..
 
Hii kampuni nilisikia imefungwa kipindi fulan kwani imerudi tena!? Mana ofisin tulikua na watu wao na sasa wako chini ya kampun ingine si erolink tena..

ndio recruitment agent zote zifungiwa n serkali kutokana n unyonyaji wanaoufanya ila kama unavyojua udhaifu w serkal yetu kushindwa kusimamie naamuz yake jamaa bado wanapeta pia inasemekana erolink inamilikiwa na vigogo w serkali
 
Hao jamaa huwa wanaita tu kufanya interview na mara nyingi si kwamba kazi zinakuwepo moja kwa moja, unaenda na kufanya writen interview, ukishinda unaweza kaa hata miezi 3 au zaidi tena ukaitwa na kufanywa oral ukishinda unaweza kaa hata miezi 6 tena au zaidi ndo ukajaitwa kwa kazi, huwa wanawaweka reserve hadi voda wawe na uhitaji wa watu. Nenda kafanye kila lakheri.

NB: Pia unaweza ukafanya na moja kwa moja ukaingia kazini.

Kweli hii kitu
 
Back
Top Bottom