Utumishi interview kwa mara ya kwanza

Utumishi interview kwa mara ya kwanza

Paper la kawaida Sana kwa Mtu aliyesoma hata certificate ya community development na anajua lugha vizuri hakosi 90/100 tujitahidi kusoma guyz Mimi nimesoma education lakini huo mzigo hapo Juu unaeleweka Sana ningeishi nao Vizuri.
Sema huo Muda dk 40 mnaandika kila swali Mfumo wa essay au short breaf explanations?
 
Paper la kawaida Sana kwa Mtu aliyesoma hata certificate ya community development na anajua lugha vizuri hakosi 90/100 tujitahidi kusoma guyz Mimi nimesoma education lakini huo mzigo hapo Juu unaeleweka Sana ningeishi nao Vizuri.
Sema huo Muda dk 40 mnaandika kila swali Mfumo wa essay au short breaf explanations?

Mtihani ukiwa nje mrahisi sana sijui kwanini
 
Paper la kawaida Sana kwa Mtu aliyesoma hata certificate ya community development na anajua lugha vizuri hakosi 90/100 tujitahidi kusoma guyz Mimi nimesoma education lakini huo mzigo hapo Juu unaeleweka Sana ningeishi nao Vizuri.
Sema huo Muda dk 40 mnaandika kila swali Mfumo wa essay au short breaf explanations?
maswali huwa si magumu ila mchawi ni muda, hizo 40 minutes kufanya maswali 5 na hii miandiko yetu, kuaga mashindano haina budi 😁
 
Back
Top Bottom