Mamy7
Member
- Apr 18, 2023
- 21
- 29
Saa na kucheat vinahusiana nini jamani? Au mimi ndo mshambaSaa zilipigwa marufuku sababu ya cheating lakini lazima zifike sema kila swali unatakiwa kutumia dakika 10
Kila la kheri mkuu nasikia paper ilikunjwa kwaajili ya kuwakanda

