Mamy7
Member
- Apr 18, 2023
- 21
- 29
Saa na kucheat vinahusiana nini jamani? Au mimi ndo mshambaSaa zilipigwa marufuku sababu ya cheating lakini lazima zifike sema kila swali unatakiwa kutumia dakika 10[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Kila la kheri mkuu nasikia paper ilikunjwa kwaajili ya kuwakanda