Msaada: Naomba muongozo wa Interview TRA

Msaada: Naomba muongozo wa Interview TRA

Duh! Elimu yetu hii kweli kiboko. Yani unataka uki-google uone kabisa mahali pameandikwa uhusiano kati ya Corona na Tax Offer? Hahahaaa...
Kazi kweli kweli😂😂😂😂😂
 
Happy
Mjomba usikalili toka ilo pepa lililopigwa kikanda lipite TRA wameishaita tena kama mara mbili na maswali yote wanauliza notes za Tax na customs za darasan mfano kwenye customs waliuliza bill of exchange, bill of landing , ili utoe mizigo bandarin zinaitajika document gani muhimu, wharf ni nn , Hao ITA baba lao ni NBAA mkuu mwisho current issue pia muhimu kupitia
[/QU

Hapo Sasa ndiyo patamu yani na siyo mambo ya hovyo hovyo tuu ya kitaa
 
Mjomba usikalili toka ilo pepa lililopigwa kikanda lipite TRA wameishaita tena kama mara mbili na maswali yote wanauliza notes za Tax na customs za darasan mfano kwenye customs waliuliza bill of exchange, bill of landing , ili utoe mizigo bandarin zinaitajika document gani muhimu, wharf ni nn , Hao ITA baba lao ni NBAA mkuu mwisho current issue pia muhimu kupitia
Kati yangu mimi na wewe ni nani aliyekalili? Maana mimi nasema sio mara zote utumishi wanarely kwenye manotes ya darasani nikimaanisha raia wasikomae sana na notes tu pia wafatilie na mambo ya dvt programs mbalimbali znazoihusu nchi. Wewe unasema baada ya ile pepa huwa wanatoa mambo ya class tu. (uko ndo kukalili sasa)

Pia NBAA sio babalao sababu ingekua ivyo TRA ingetaka staff wake wawe certified na NBAA lakini staff wa TRA uwa wanapelekwa training ITA na sio NBAA.
 
Samahani kidogo kama ntakua harsh lakin kitendo cha kua umemaliza masomo na unataka ajira then unaomba possible questions sidhani kama ni vizuri
Mmh! wewe hujitambuwi.
Dah! haya Ma Act kitu cha VAT, INCOME, EACCM, FINANCE Nimezipitia mpaka kichwa kinauma hivyo nalala leo mapemaaa
Kesho kitaeleweka tu pale YOMBO 5 UDSM.
Wadau wenanzangu nawatakia mtihan mwema..
 
Mmh! wewe hujitambuwi.
Dah! haya Ma Act kitu cha VAT, INCOME, EACCM, FINANCE Nimezipitia mpaka kichwa kinauma hivyo nalala leo mapemaaa
Kesho kitaeleweka tu pale YOMBO 5 UDSM.
Wadau wenanzangu nawatakia mtihan mwema..
Nawe pia mtihani mwema, tutakutana kujipima, maana sio kwa umati huu! Duuuh Mungu tusaidie kwa kweli
 
Kwa wale wadogo zangu ambao kesho mnapepa la TRA HAKIKISHA unasoma yafuatayo

1. Corona impact kwenye revenue
2. Njia zinatumika katika kukwepa kodi
3. Kodi ambazo ni rahisi ku collect na aina ya kodi ambayo ni rahis ku evade
4. Soma VAT hasa kwenye requirements zake, importance na ujue bidhaa ambazo ni exempted kwenye VAT ( bidhaa zilizosamehewa kwenye Vat)
5. Zijue aina za Efd machine, soma features za legal receipt and illegal ujue zinakuaje
6. Mtangulize mungu.

All da best
 
Mmh! wewe hujitambuwi.
Dah! haya Ma Act kitu cha VAT, INCOME, EACCM, FINANCE Nimezipitia mpaka kichwa kinauma hivyo nalala leo mapemaaa
Kesho kitaeleweka tu pale YOMBO 5 UDSM.
Wadau wenanzangu nawatakia mtihan mwema..

Acts waachie legal officers , vat inapatiakana kwenye Tax administration act S.90
 
hivi utumishi hua wanashortlist mara 2 inakuaje majina yanaongezwa siku moja kabla ya usaili,hao walioongezwa wanafaham na walijiandaa kama walikua wanafahamu majina yao yatatoka ni nani aliwajulisha namba zao za mitihani hatuna ila majina tumeshayadownload
 
Hivi number za mtihani ni zipi maana sielewi elewi,
Halafu ukumbia wa Mwl nyerere uko sehemu gani?
 
Mjomba usikalili toka ilo pepa lililopigwa kikanda lipite TRA wameishaita tena kama mara mbili na maswali yote wanauliza notes za Tax na customs za darasan mfano kwenye customs waliuliza bill of exchange, bill of landing , ili utoe mizigo bandarin zinaitajika document gani muhimu, wharf ni nn , Hao ITA baba lao ni NBAA mkuu mwisho current issue pia muhimu kupitia
Hii possible yako imetoka leo kwenye custom officer ll..
 
U
Subiri kwanza usote ndiyo utajua umuhimu wa possible, Hivi kwa akili yako unazani mtu aliyemaliza 2014 mpaka leo anaweza akawa anakumbuka Taxation yote? Na hata akianza kusoma unazani anaweza akaimaliza ndani ya mda mchache?

Ndiyo maana mtu anaomba possible ili asije poteza mda mwingi kusoma vitu vingi
haswaaa .. maana unakuta mtu amesha kaa mdamrefu mtaani huku akiwa anapambana na maisha yake kwa njia tofauti na kusoma , ni lazima asahau mamboo mengi na hapo unakuta amesha gawa material yake yote ,,, so kwenye akili yake imejaa nyanya ,vitunguu, karoti, bamia. na mengineyo nkimaanisha watu wanajitahidi kujaribu biashara za kufanya so akili inakuwa imejaa biashara hatakama haimtoi kimaisha. so kama umepata neema ya kumaliza chuo alafu ukakutana na watu kama hao ,, ni vyema kuwasaidia kwani hata wewe utabarikiwa na mungu...
 
Back
Top Bottom