Kwahyo siku zote ulishindwa kupost Kisa kamlipua diamond Ndo unalalamika ujifikirie kabla ya kupost wewe ouvu wa nchi hii unaweza kuukemea??? Wakipatikana majasiri unawalaumu ,,, ujihoji kabla ya kuandika post zako
Wadau naomba mnisaidie mimi ni muhitimu wa kidato cha nne 2015 nimefanikiwa kupata dívision 2 ya point 19 katika maisha yangu ya O level sikupenda somo la biology japo nilikua nachukua science matokeo yameonyesha hata biology nimefaulu kiukweli naipenda sana arts hasa combination ya HGL lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.