Ok.ipo iv kama ulikua unatumia pin or pattern before kabla ya kuweka iyo fingerprint kumbuka kua utaweza kuweka iyo fingerprint lakini kwenye kufungua lazima itaambatishwa na pin or pattern yani simu yako itataka pin or pattern before ya fingerprint hau simu yko itataka fingerprint then pin or...
Kumbuka vizuri maana uwezi kuifunga kwa fingerprints bila. Password or pin or pattern. Maana mimi mwenyewe natumia SAMSUNG A30S ilikua ivyo hivyo
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Fungeni track. oooohh !!kama wenzenu south Africa ata kama imeibiwa inaonyesha gari ipo wp na ata kama wakitoa betri bado inaonyesha labda waifumanie iyo track sawa lakini bila ivyo.
Gari yko unaipata2 ila tatizo moja2 serikali yetu ipo nyuma kidogo kwenye mambo ya technology maana iyo track...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.