Nimemiss kuumizwa kwenye mapenzi...

Nimemiss kuumizwa kwenye mapenzi...

U
Hivi haya maisha za namna hii ni kweli yapo au ni ya kusadikika? Mimi nikikutapika nimekutapika hata kama nilikupendaj kwa kuwa naamini destiny yangu is not tied to any human being but God alone.. Then nina dharau ukishanikataa na mm najiambia sina Haja nae pia.
Uko sahihi mkuu, ila kile kipindi cha mpito ndio wengi tunalia nacho apa!!
 
Mzee demu aliniaminisha ananipenda dadeki yan altumia nguvu nyingi kuniaminisha nlivoingia tu

Akaanza kuzngua ila nlihakikisha nmemla kila nlipopata nafasi kwaio alivozingua niliumia sababu nilimpenda sio sababu sijamla
Dah..ndio napitia hii kitu mkuu ila yatapita tuu
 
Najua taonekana wa ajabu kutokea!!! Lakin ni uhalisia:

Wayback!! 2010s Niliwahi mpenda mrembo wangu wakuitwa~J!!!! Ooh my God!!

Ule upendo ulikua wa Aina yake..aijapata tokea kwangu mpka Leo hii!!..

Nauhakika nilikua fala!!!....J'' ~Ulinikaribisha dunia hii ya upendo ..
duuuh
 
Najua taonekana wa ajabu kutokea!!! Lakin ni uhalisia:

Wayback!! 2010s Niliwahi mpenda mrembo wangu wakuitwa~J!!!! Ooh my God!!

Usipokuwa makini soon unaingia kwenye matatizo makubwa, achana na huyu mke wa mtu, hakupendi anataka kukutumia.
 
Usipokuwa makini soon unaingia kwenye matatizo makubwa, achana na huyu mke wa mtu, hakupendi anataka kukutumia.
Hata mim nimenusa harufu!! Lakin Sasa daah:
 
Najua taonekana wa ajabu kutokea!!! Lakin ni uhalisia:

Wayback!! 2010s Niliwahi mpenda mrembo wangu wakuitwa~J!!!! Ooh my God!!

Ule upendo ulikua wa Aina yake..aijapata tokea kwangu mpka Leo hii!!..
Nimeishia kucheka tu.
 
Life is simple when You dont give a damn about women Shit or anything, Just get your Shit together and focus on what you need, not what you mind need ( need to control your mind).
 
Back
Top Bottom