habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
- Thread starter
- #41
Mshana njoo utwambieeMshana Jr anajua iliko mbingu. Aje hapa sasa hivi
Mshana njoo utwambieeMshana Jr anajua iliko mbingu. Aje hapa sasa hivi
Mungu ndo ajuayeVipi kuhusu kufa, na mbona wanaokufa hawarudi? na wakifa wanaenda wapi?
Hatimaye vipofu wakutana..! Huhuhuhu..!Ieleweke hivyo mkuu,
Km mbingu na kuzimu kupo basi hiyo imebaki kuwa siri ya Mungu peke yke,
Umeniombea huko kanisani?Hatimaye vipofu wakutana..! Huhuhuhu..!
Kasome philosophy (metaphysics) origin of the universe ukimaliza kasome theology itakueleza kabisa kisha malizia na biblia maana biblia inasema kabla ya kuimbwa ulimwengu roho ya Mungu ilikuwa ikielea juu ya maji.Amani iwe nanyi wana wa Mungu
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa, naamini hata we ulipo uko mzima wa afya na mwenye nguvu.
Bibilia imeandikwa Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia, na baada ya kumaliza kuumba mbingu, Mungu akahamishia makao yake mbinguni ambapo ndiko kiti cha enzi kilipo na duniani ni pahala pa kuweka miguu yake,
Je kabla Mungu hajaumba hiyo Mbingu Mungu huyu alikiwa akiishi wapi?
Mbingu inayosimuliwa ktk misahafu haijawahi kuonekana machoni kwa binadam yeyote, pamoja na kwamba watafiti wa mambo ya anga kutengeneza darubini nzur za kisasa ambavyo huwawezesha kuona umbali wa matrilion ya maili angani, lkn hawajaweza kukutana na ukuta unaozuia wasiendelee kuona mbele ambao ni ukuta wa mbingu,
Pamoja na umakini wa hali ya juu unofanywa na watafiti hawa wa anga naamini km mbingu ingalikiwepo wasingekosa kutoa taarifa za kuwapo kwake.
Km kwel kuna mbingu, basi ni Mungu peke yake ndo anajua pahala ilipo na si binadam! Maana hakuna aliyewahi kwenda huko na kurudi akaleta habari za uwepo wake.
Hadaa hii imedumaza bongo za watu wengi na kusababisha binadam aendelee kuishi kwa kutegemea mawazo duni ya waliotuletea uvumi huu.
Na rudia tena, km mbingu IPO ni Mungu pekee tu ndiye anajua pahala gani IPO na si mwanadam, tuache kuhadaana.
Sisi wana wadunia...! "natuwaombee wale wakosefu wasio na mwombezi..! Na wasio mwamini Yesu mwokozi wamuamini ili waokoke..!"Umeniombea huko kanisani?
Wakosefu ni akina nani? Na wanapatikana wapi?Sisi wana wadunia...! "natuwaombee wale wakosefu wasio na mwombezi..! Na wasio mwamini Yesu mwokozi wamuamini ili waokoke..!"
Maisha bora is the relative concept..!Wakosefu ni akina nani? Na wanapatikana wapi?
Walau ungenambia kwamba nikitaka kufikia maisha bora nifuate falsafa za Yesu ningekuelewa kuliko hizo ngonjera
Macho ya binadamu pamoja na akili vimefumbwa, kuhoji mamlaka ya Mungu kwa namna yoyote ile ni dalili ya mwanadamu kukengeuka, kumtumikia shetani, shetani anaweza kujaribu kuwafanya wanadamu wahoji uwepo wa Mungu tena kwa hoja dhaifuAmani iwe nanyi wana wa Mungu
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa, naamini hata we ulipo uko mzima wa afya na mwenye nguvu.
Bibilia imeandikwa Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia, na baada ya kumaliza kuumba mbingu, Mungu akahamishia makao yake mbinguni ambapo ndiko kiti cha enzi kilipo na duniani ni pahala pa kuweka miguu yake,
Je kabla Mungu hajaumba hiyo Mbingu Mungu huyu alikiwa akiishi wapi?
Mbingu inayosimuliwa ktk misahafu haijawahi kuonekana machoni kwa binadam yeyote, pamoja na kwamba watafiti wa mambo ya anga kutengeneza darubini nzur za kisasa ambavyo huwawezesha kuona umbali wa matrilion ya maili angani, lkn hawajaweza kukutana na ukuta unaozuia wasiendelee kuona mbele ambao ni ukuta wa mbingu,
Pamoja na umakini wa hali ya juu unofanywa na watafiti hawa wa anga naamini km mbingu ingalikiwepo wasingekosa kutoa taarifa za kuwapo kwake.
Km kwel kuna mbingu, basi ni Mungu peke yake ndo anajua pahala ilipo na si binadam! Maana hakuna aliyewahi kwenda huko na kurudi akaleta habari za uwepo wake.
Hadaa hii imedumaza bongo za watu wengi na kusababisha binadam aendelee kuishi kwa kutegemea mawazo duni ya waliotuletea uvumi huu.
Na rudia tena, km mbingu IPO ni Mungu pekee tu ndiye anajua pahala gani IPO na si mwanadam, tuache kuhadaana.
Ukifa utajua kila kituswali langu ,
kwanini amfiche mwaye?
au hatupendi?
hivi unaweza kuwa na mtoto alafu usimonyeshe nyumbani?
au sisi ni watoto wa kambo katutelekeza, wazungu ndo wana wake wapendwa? maana wao kila kitu kwao kiko sawa.
Ukifa utakuja kutuambia🚶Vipi kuhusu kufa, na mbona wanaokufa hawarudi? na wakifa wanaenda wapi?
Ni kwamba mwalimu wako wa dini ameshindwa kukueleza ukaelewa au hujamtafuta kabisa?Haya maswali ni superficial sana mzee.Amani iwe nanyi wana wa Mungu
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa, naamini hata we ulipo uko mzima wa afya na mwenye nguvu.
Bibilia imeandikwa Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia, na baada ya kumaliza kuumba mbingu, Mungu akahamishia makao yake mbinguni ambapo ndiko kiti cha enzi kilipo na duniani ni pahala pa kuweka miguu yake,
Je kabla Mungu hajaumba hiyo Mbingu Mungu huyu alikiwa akiishi wapi?
Mbingu inayosimuliwa ktk misahafu haijawahi kuonekana machoni kwa binadam yeyote, pamoja na kwamba watafiti wa mambo ya anga kutengeneza darubini nzur za kisasa ambavyo huwawezesha kuona umbali wa matrilion ya maili angani, lkn hawajaweza kukutana na ukuta unaozuia wasiendelee kuona mbele ambao ni ukuta wa mbingu,
Pamoja na umakini wa hali ya juu unofanywa na watafiti hawa wa anga naamini km mbingu ingalikiwepo wasingekosa kutoa taarifa za kuwapo kwake.
Km kwel kuna mbingu, basi ni Mungu peke yake ndo anajua pahala ilipo na si binadam! Maana hakuna aliyewahi kwenda huko na kurudi akaleta habari za uwepo wake.
Hadaa hii imedumaza bongo za watu wengi na kusababisha binadam aendelee kuishi kwa kutegemea mawazo duni ya waliotuletea uvumi huu.
Na rudia tena, km mbingu IPO ni Mungu pekee tu ndiye anajua pahala gani IPO na si mwanadam, tuache kuhadaana.