Recent content by kekundu

  1. kekundu

    DC Kibaha aachana na mkewe, kisa Matokeo ya DNA

    Ila kuna watu kichwani sijui kuna kamasi,,,hii habari ni uzushi ila mandezi wanaibeba
  2. kekundu

    Bashite kufunga namba za Serikali kwenye magari binafsi, hii imekaaje?

    Hivi hauna hata kavideo ?au picha tofauti na hiyo
  3. kekundu

    KERO Ni mateso kwa ajira mpya Halmashauri ya Msalala-Kahama

    Ngoja nikuulize ajira za mwezi gani na kada ipi?
  4. kekundu

    Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu.

    Huyo mbona hashangazi,,kuna jamaa yeye harudii bia ,,atakunywa bia zote zilizopo
  5. kekundu

    Naomba ushauri

    Acheni kuzini,,nendeni mkatambulishane
  6. kekundu

    KERO Kwa sasa ukiunganishiwa umeme Meter mpya zinakuja na deni la kodi ya ardhi la tangu mwezi Julai 2025

    Wanakata kidogo kidogo,,juzi mpangaji mwenzangu ndo kanishtua kwamba tunalipa deni la mwenye nyumba
  7. kekundu

    Kuuza Akiba ya Dhahabu: Ni Uamuzi wa Kitaaluma au Suluhisho la Muda Mfupi?

    Mtu kauza mali yake watu wanalalamika,,,
  8. kekundu

    KERO Walimu 25 Manispaa ya Kigoma Ujiji tulipandishwa vyetu, miezi mitatu baadaye tukashushwa eti walikosea

    Nikuulize swali ,kabla ya kupanda hiyo 2025 ulipanda mara ya mwisho lini
  9. kekundu

    OMBI: Naishauri Serikali kupunguza umri wa kustaafu kutoka miaka 60 mpaka 45. Na kustaafu kwa hiyari kuanzia miaka 40

    Hivi unajua sheria ya mafao?ili ulipwe mafao unatakiwa uwe umefanya kazi kwa miaka 15,,,pia jua kuna watu wanaajriwa wakiwa na miaka 40,,,wazo lako ni pumba ,,wapelekeee bata bandani
Back
Top Bottom