Recent content by kekundu

  1. kekundu

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Walimu wa kujitolea Shule za Msingi, Sekondari - Morogoro waboreshewe maslahi, malipo hayaendani na hali halisi ya sasa

    Kama wanaona hiyo laki ni ndogo si waache tu kujitolea wakafanye mishe nyingine
  2. kekundu

    JamiiForums Tanzania Hatma ya mkopo wa Benki baada ya mkopaji kufariki

    Mikopo yote ina bima,,endapo mkopaji amefariki basi deni nalo linakufa,,
  3. kekundu

    JamiiForums Tanzania DC Kibaha aachana na mkewe, kisa Matokeo ya DNA

    Ila kuna watu kichwani sijui kuna kamasi,,,hii habari ni uzushi ila mandezi wanaibeba
  4. kekundu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napitia kipindi kigumu sana, naomba msaada wenu wana JamiiForums

    Tafuta hela kijana,,,
  5. kekundu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Faustine Mafwele yamkuta mazito, Augustino Polepole amtaka ajitokeze hadharani

    Huyo kaka wa pole pole ni poyoyo tu,,
  6. kekundu

    JamiiForums Tanzania Bashite kufunga namba za Serikali kwenye magari binafsi, hii imekaaje?

    Hivi hauna hata kavideo ?au picha tofauti na hiyo
  7. kekundu

    JamiiForums Tanzania KERO Ni mateso kwa ajira mpya Halmashauri ya Msalala-Kahama

    Ngoja nikuulize ajira za mwezi gani na kada ipi?
  8. kekundu

    JamiiForums Tanzania Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu.

    Huyo mbona hashangazi,,kuna jamaa yeye harudii bia ,,atakunywa bia zote zilizopo
  9. kekundu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shemeji yako akikutaka kimapenzi utachukua uamzi gani?

    Kwa nini asipewe?
  10. kekundu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri

    Acheni kuzini,,nendeni mkatambulishane
  11. kekundu

    JamiiForums Tanzania KERO Kwa sasa ukiunganishiwa umeme Meter mpya zinakuja na deni la kodi ya ardhi la tangu mwezi Julai 2025

    Wanakata kidogo kidogo,,juzi mpangaji mwenzangu ndo kanishtua kwamba tunalipa deni la mwenye nyumba
  12. kekundu

    JamiiForums Tanzania Kuuza Akiba ya Dhahabu: Ni Uamuzi wa Kitaaluma au Suluhisho la Muda Mfupi?

    Mtu kauza mali yake watu wanalalamika,,,
  13. kekundu

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu 25 Manispaa ya Kigoma Ujiji tulipandishwa vyetu, miezi mitatu baadaye tukashushwa eti walikosea

    Nikuulize swali ,kabla ya kupanda hiyo 2025 ulipanda mara ya mwisho lini
  14. kekundu

    JamiiForums Tanzania Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

    Unawaamini hawa wanaharakati?
Back
Top Bottom