Ndugu yangu, mwanadamu huwa haridhiki na always hanaga jema. Jifunze kwa safari ya wana waisrael Jangwani, kila walichokuwa wanakitaka, Mungu alkuwa anawapa, lakini mwishoe wakaishia kutengeneza sanamu ya ndama awe mungu wao, chezea mwanadamu wew. Always do the right things, watakukumbuka katika...