Hela zimesharudi mtaani?

Ukweli ni kwamba ajira zimekuwa nyingi hususani kwenye sekta ya ujenzi,kama wewe ni Mhandisi au fundi sanifu wa ujenzi Kazi ni nyingi sana maana serikali imemwaga miradi ya ujenzi wa barabara via Tarura kila wilaya
 
Kaka mkubwa Nyani Ngabu , Hawa jamaa wanastahili kuhamishwa nchi. Walimtia stress mzee wetu JPM, wakamchongea kila mahali. Walifanikiwa sehemu kubwa ya misheni yao, hata hivyo walifeli kutenganisha upendo na ushawishi wake kwa wananchi wanyonge.
Hakika hawa Nyumbu wa Ufipa ni wanafiki, wazandiki, wazushi, wachonganishi, na waongo waliojivika uanaharakati. Ipo siku watalipwa kwa matendo yao
 
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.

Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.

Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.

Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.

Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa , tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!

Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?

Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?

Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.

Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.

Tuendelee kuupiga mwingi .
Uwe na adabu.wewe hata ukwaju hujawahi uza.utajuaje kama hela ziliadimika??
 
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.

Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.

Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.

Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.

Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa , tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!

Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?

Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?

Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.

Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.

Tuendelee kuupiga mwingi .
Naona hela zinatiririka kwa bavicha
Magufuli alibana hela,sasahivi hayupo,zinamwagika Sasa
 
Magufuli anatekeleza sera za Chadema .....huyu hafai hela zote anapeleka kwenye miradi, miradi yenyewe hasara tupu! Sasa ndege nani atapanda! Alafu analipa cash, si angekopa tu! Stendi ya mbezi ni ovyo italeta foleni kubwa! Magufuli ni dikteta amekataza siasa! Flyovers zipo Kenya zile za Magufuli hamna kitu!

Haya mzee wa watu kapumzika, shangwe likaibuka, kwisha Mataga, Sukuma gang watakoma! Mama achana na miradi ya Magufuli haina maana! Mama anaupiga mwingi! Mama anafungua uchumi! Sasa nchi inapumua, tuko huru kukosoa na kufanya siasa.

Sasa hivi, tuone mataga na sukuma gang wakisema Mama anaupiga mwingi ni block tu, Mama ni dikteta wa kike! Hata Magufuli hakuwahi kutufungulia mashtaka ya ugaidi! Huyu Mama ndio atakuwa the worst President ever!

Dah! Haya maneno yote yanasemwa na watu wale wale!
Ndugu yangu, mwanadamu huwa haridhiki na always hanaga jema. Jifunze kwa safari ya wana waisrael Jangwani, kila walichokuwa wanakitaka, Mungu alkuwa anawapa, lakini mwishoe wakaishia kutengeneza sanamu ya ndama awe mungu wao, chezea mwanadamu wew. Always do the right things, watakukumbuka katika hayo.
RIP Magu.
 
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.

Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.

Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.

Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.

Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa ๐Ÿ˜‰, tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!

Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?

Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?

Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.

Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.

Tuendelee kuupiga mwingi ๐Ÿ˜‰.


watamkumbuka tu

1.wanaolalamika ubabe wa JPM ni wale walizibiwa mianya ya kula


2. JPM hakupandisha mishahara,.mama kapandisha mishahara...mafuta, tozo, bei ya mbolea!!!


Mzunguko upo na hakuna anayelalamika kuchangia hizo TOZO
tunachotaka ni AMANI Mama yetu kairudisha ndio maana hata humu JF watu hatuandamwi tena
Bado Mitaani hata Vyama vya upinzani vina nyodo sasa
Wakati wa Mwendazake hao wanaoandamana wangethubutu
Bora Mwendazake kaondoka na sukumagang yake
unalazimisha tu, angalia namba moja hapo juu
 
We jamaa mataqle kweli. Dingi fo fo yiaz aliajiri!!?
Au hata hauelewi feza mtaani zinaingiaje mzee!!?

Yule f*l* hata muongeeje hatuji kumkubali wala nini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mbona siku hizi umekuwa na mawazo ya kipumbavu sana? Kuna wakati nilikuwa nakuona a great thinker kwelikweli...lakini siku hizi.. mhuu..

Kwa taarifa yako,huku hela zimeanza kuongezeka mitaani. Benki zimeongeza utoaji mikopo,riba zimepunguzwa na serikali imeongeza spending kwenye infrastructure. Rudi nyumbani kumenoga.
mkiwa hamna hoja mnaanza na matusi!!!! halafu unajipa faraja ya moyo kama unayoongea ni kweli

ukweli unabaki kuwa alichoongea huyu mwanzisha thread kimekugusa!!!!! huna namna ya kuukubali ukweli bali kutafuta faraja kwa kumtukana
 
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.

Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.

Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.

Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.

Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa , tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!

Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?

Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?

Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.

Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.

Tuendelee kuupiga mwingi .
Kwani hujamsikia waziri wa fedha ndugu Mwigulu?

Utatuulizaje sis wachangiaji wa mfuko wa uzalendo.
 
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.

Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.

Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.

Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.

Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa , tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!

Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?

Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?

Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.

Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.

Tuendelee kuupiga mwingi .
Wewe utakuwa mataga au sukuma gang posts zako nyingi za karibuni unamshambulia Samia sawa nae ana mapungufu yake kama binadamu.

Samia ndio hata miezi 6 haijafika unategemea results zake uzione katika 3 months hilo haliwezekani kabisa.

Pili tuangalie mabadaliko ya kisera tunaona awamu ya 5 kulikuwa na Contraction policy za kubana uchumi na mzunguko wa hela sisi tunaishi hapa TZ tuliona uko kupungua sana kwa pesa mifukoni mwa watu.

Samia Gvt yake imeleta expansionary poliy katika uchumi na mfunguko wa pesa na majuzi to Central Bank BOT imezitaka Banks kupunguza riba toka around 20% to 10% hii ni margin kubwa sana lengo ni kukuza credit creations na kurudisha hela mifukoni mwa watu na linahitaji muda tutaona matunda yake.

Awamu ya 5 kuna miradi mikubwa mingi sana Dodoma Stiegler SGR Ndege etc vyote vinahitahi hela nyingi sana na nyingi zikilipwa zinatoka nje ya nchi wakati huo huo mapato yameshuka utalii mapato yameshuka kwa 70% hayo sio ya kumlaumu Samia ni trend iliyosabishwa na maamuzi ya awamu ya 5 na unprecedented Corona pandermic negative impacts.

USD 650 Billions zimetengwa na taasisi za fedha kuobooster economies baada ya Corona sisi tulikataa kukopa wenzetu majirani wamekopa trillions of money.

Kubanwa kwa private sekta biashara za watz nyingi sana zilidoda na kufa wakati nguvu ikipelekwa taasisi za Gvt kufanya biashara hilo nalo lilikuwa kosa kubwa sana private sekta ni engine ya growth inahitaji kukuzwa sio kubanwa sana.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.

Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.

Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.

Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.

Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa , tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!

Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?

Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?

Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.

Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.

Tuendelee kuupiga mwingi .
Kwa wakulima wa ufuta kuna mabadiliko msimu huu umenunuliwa kwa bei mzuri na malipo ndani ya wiki moja, Mbaazi nazo zinanunuliwa kwa kasi haijatokea kwa misimu mitano iliyopita, kwa sasa zimefikia zaidi ya 1000 kwa kilo kutoka 200 ya nyuma, pia choroko, dengu, na kunde bei zimechangamka na walau imerejesha hali fulani ya kipesa mtaani hasa mikoa ya kusini.
 
Back
Top Bottom