Hawana time na CAG, ripoti zake hazifungi kwani ni lazima tena zifanyiwe kz na vyombo vya uchunguzi ambavyo havijawezeshwa. Ripoti za CAG ni kama mashairi
Ni kweli kabisa lkn haifanyi hivyo why? Na nilichokiobgea mm ni hiyo why?. Unadhani kama viongozi ndio wanafanya ufisadi, PCCB hii itathubutu ku-prevent? Imewezeshwa kufanya hivyo? Meno hayo wanayo? Wenyewe wanalalamika kila siku
Ni kweli kabisa lkn haifanyi hivyo why? Na nilichokiobgea mm ni hiyo why?. Unadhani kama viongozi ndio wanafanya ufisadi, PCCB hii itathubutu ku-prevent? Imewezeshwa kufanya hivyo? Meno hayo wanayo? Wenyewe wanalalamika kila siku
Ni kweli kabisa lkn haifanyi hivyo why? Na nilichokiobgea mm ni hiyo why?. Unadhani kama viongozi ndio wanafanya ufisadi, PCCB hii itathubutu ku-prevent? Imewezeshwa kufanya hivyo? Meno hayo wanayo? Wenyewe wanalalamika kila siku
Huenda sheria yao hairuhusu.
Labda tuanzishe taasisi ya kiusalama wa uchumi. Maana ufisadi unakithiri na viongozi wa nchi ndio vinara wa ufisadi.
PCCB kwa bahati mbaya wanachunguza matukio baada ya kutokea, tena sio kila tukio.
Maana ndio kwanza wameanza, na huyo ni shahidi wa kwanza, Yale mengine yalikuwa maneno ya mtaani utaskia hivi mara vile! Bt polisi wanajua wenyewe uzito wa ushahidi walionao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.