Shemeji aeleza jinsi Mbasha alivyombaka

Shemeji aeleza jinsi Mbasha alivyombaka

Demu wa ngwassaa anashida sana umebakwa mara 3 katika vpindi tofauti tofauti kweli???

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Tusilaumu mtu,kwani hvi vitendo nivigeni hapa tz!!!? Vyote vyawezekana sie vdume tunatamaa mno. Wacheni mahakama iamue,kama kabaka khaya,kabakwa sawaaa!!
 
Hii kesi haimfungi Mbasha akipata wanasheria makini.....Mungu atamsimamia.Ingawa akilini mwangu nahis walikuwa na mahusiano

Ndio kubaka kwenyewe huko. Ukitembea na binti mwenye umri chini ya miaka kumi na nane hata kama ni kwa makubaliano, unabaka
 
kesi ya kutengeneza ushahidi wake huwa unaonekana tu ndo kama huu. ila mungu yupo na anaona haya mwisho wa siku itafahamika tu.
 
Ndio kubaka kwenyewe huko. Ukitembea na binti mwenye umri chini ya miaka kumi na nane hata kama ni kwa makubaliano, unabaka

Hii inshu unaiona jinsi ushahidi unavyobadilika badilika huenda hata huo umri ni danganya toto.
 
Ila hatujui uzito wa ushahidi walionao.
Maana ndio kwanza wameanza, na huyo ni shahidi wa kwanza, Yale mengine yalikuwa maneno ya mtaani utaskia hivi mara vile! Bt polisi wanajua wenyewe uzito wa ushahidi walionao.
 
Maskini Imma Mbasha... Nilivyouona wimbo wa Tanzania niliwaambia watu huyu jamaa ni BOYA! Sasa H20 imepungua amebaki kuning'inia!
 
Huyu jamaa kwani ana mikono mingapi? mmoja ukamkaba shingo mwingine ukamziba mdomo sasa aliwezaje kubaka!? ni wazi binti naye alitoa ushirikiano kwa kumvua nguo jamaa na mengineyo


Hili nalo ni swali la kujiuliza!
 
Ushahidi kwishnei. Kuprove ubakaji sio maneno kama hayo
 
Naona kuna kila dalili Mbasha atafungwa jela.


Unfortunately! Na si kila alie jela ni mhalifu kwa maana halisi ya uhalifu. Yaani mdogo wake kongosho anitamani na kunitega mwenyewe (ati ze sem taim "bepari" la Kihaya anamtamani Kongosho (jamani ni mfano tu maana Kongosho kazaliwa kwa ajili yangu tu) halafu nifungwe kwa kumpa shemeji alichokitaka eti kwa kuwa hajatimiza umri wa kisheria kwa tafsiri ya sheria za nchi na ambazo "bepari" anaemmendea Kongosho wangu anazitumia kwa manufaa yake kweli?!!!!

Unaejiita bepari la Kihaya njoo nikuonyeshe cha mtema kuni, nyambafu!
 
Kubaka sio rahisi kama katika movie. Jaribu uone kama utapenyeza. Ndio sababu wazungu hutumia silaha kutisha ama madawa. Huyu demu mwongo hamna kesi hapa kwani akiambiwa atoe maelezo jinsi alivyobakwa step by step hataweza sheria ni very complex haimtii mtu hatiani kirahisi hivyo la sivyo tungejaa jela kama kila angeamua kusema tuu amebakwa.
Hujui maana ya kubaka kijana eeeh, angalie usifungwe, soma hapa...Rape is a type of sexual assault usually involving sexual intercourse (or other forms of sexual penetration) initiated against one or more individuals without the consent of those individuals. The act may be carried out by physical force, coercion, abuse of authority or against a person who is incapable of valid consent, such as one who is unconscious, incapacitated, or below the legal age of consent
 
Duh alikabwa au alijilengesha mwenyewe kidemu chenyewe kimeact pono na ngasa malaya tu hana jipya!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom