Pole sana. Wewe ni Kichwa na ndo maana ukaleta Uzi huu hapa wadau wakupe mwanga , hayo maneno ya waja yasikurudishe nyuma. Fuatilia kwa karibu , utafanikiwa. Ki ukweli kilichokutokea kingemtokea yeyote asingefurahi. Matusi na kejeli wkt mwingine zinaboa...
Kwa kusema lile la kweli... hapo sababu kuu ni umasikini+ tamaa ya pesa+ tamaa ya ngono+ kuiga+ ujinga. Mtu hawezi kwenda sokoni bila kuwa na bidhaa, sitaki kuwalaumu wanaume ila sisi wanawake ndo wachochezi wa hilo. Na hilo linarithishwa kutoka kizazi hadi kizazi, from mama to binti hakika...
With wanawataka waalimu kwakuwa wanatabia hizi.
1. Si waongeaji sana wala
Walalamishi.
2. Wengi wao hawana makuu i .e
Hawapendi anasa
3. Wengi bado hawajaijua dunia ktk
Maisha ya starehe, kwakuwa
Walimaliza form four wakaenda
Straight chuo na kule ni mwendo
Wa...
Pamoja na kwamba habari hii inaongelea shekhe P chini kwa kirefu, mwanzo ukiisoma haisupport Uzi, kwakuwa Chadema wanatetea maslahi name khaki ya wote, haipendezi kusema wanamtetea Ponda...
Soko LA she ria lipo usidanganyike, kuna competition kwenye baa hi ya mikoa na kati ya senior lawyer and young lawyers. Kwahiyo usikate tamaa tafuta elimu mud a na uwezo kama upo. Elimu ni kila kitu.
Kama mwanasheria nakushauri, nenda law school, halafu upokee hizo 7 m halafu fungua ofc yako hutakosa laki 2 mpak 1 m kwa cku, kama utafungua Ar au Moshi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.