Recent content by kehengu

  1. K

    Regina Lowassa amewapoteza makada maarufu wa CHADEMA?

    Hata mimi limenishangaza maana nilikuwa nadhani mgonjwa kama yuko mahututi ndo anapelekwa icu sasa huyu mh. Aliongeaje na mgonjwa wa aina hiyo
  2. K

    Unazungumziaje kitendo cha Mwenyekiti wa TLP ambaye pia ni mgombea Ubunge Vunjo ndugu Augustine Mrem

    Uchaguzi wa mwaka huu tuwe makini baadhi ya vyama vinacheza na akili za watu
  3. K

    Unazungumziaje kitendo cha Mwenyekiti wa TLP ambaye pia ni mgombea Ubunge Vunjo ndugu Augustine Mrem

    Mkuu naona unafanana na mwema kiakili na ndio maana unaona yuko sahihi? Au hujaelewa hoja!
  4. K

    Wafanyakazi wengi serikalini kumpigia kura JP Magufuli

    Utafiti usio na viwango unaadaa watanzania, labda kama uliufanyia nchi ya botswana ambapo wafanyakazi wa serikali wako vizuri, tafadhali uasiwe kama mpiga debe ambaye hajui hata ubora wa gari analosifia kwa abiria.
  5. K

    Utata wa taarifa za habari katika television zetu

    Wanacheza na akili za watu mkuu, watanzania tuwe makini na mambo haya ili tusipoteze kura zetu.
  6. K

    Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa Kisiwani Pemba - Oktoba 03, 2015

    Naomba picha nipate kichekesho na burudani kidogo mkuu
  7. K

    Lowassa amuomba Mbowe amsaidie kwenye kampeni!

    Inavyoonekana unajiandaa Kuhama nchi maana ndiye prezd.
  8. K

    Lowassa amuomba Mbowe amsaidie kwenye kampeni!

    Kama ni fadhila hata makufuli atalipa kaka hata ya pombe
  9. K

    Lowassa amuomba Mbowe amsaidie kwenye kampeni!

    Kwanini alichaguliwa kuwa waziri na hatimaye waziri mkuu inamaana waliomchagua ni wajinga? Acha kutudanganya mbona wajumbe wa halmashaur kuu ya mcc walikuwa wakiimba wanaimani nae?
  10. K

    Tetesi Kwa Walimu Kuongezwa Mishahara

    Soma alama za nyakati, usikubali kuyumbishwa kwa pesa ya soda angalia maisha ya ndugu na watoto wako acha ubinafsi.
  11. K

    Tetesi Kwa Walimu Kuongezwa Mishahara

    Wanataka kutuchanganya akili ili tuwachague
  12. K

    Maswali kwa Twaweza (By MCL)

    Yajibiwe tuone
  13. K

    Nilisubiria kwa hamu je Magufuli atawanadi Tibaijuka, Chenge

    Msiandikie mate wakati wino upo, andaeni vichinjio vyenu tarehe 25.10.15 yaja, majibu tutayapata.
Back
Top Bottom