ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Kusema mimi nafaa ila huyu mtuhumiwa Wa escrow hafai kunahitaji madaraka gani??
Ni lazima asome jalada lenye tuhuma lililoko Takukuru na Tume ya maadili kikurupuka siyo utawala bora.
Kusema mimi nafaa ila huyu mtuhumiwa Wa escrow hafai kunahitaji madaraka gani??
Kwani Chenge nae kapelekwa mahakamani,Chenge na Lowasa ni wale wale,mngetaka mabadiliko hakika mngemsupport Hashim wa CHAUMA
Katika watakaotinga mahakamani lowasa atakuwa namba moja na kama aliamrishwa kutii amri haramu itabidi wahusika wote wafungwe mashati. Awamu ya tano hatutaangalia sura ya mtu. Sisi ni kazi tu. Tutahakikisha serikali safi kabisa, tunasema kweli, kweli kabisa na Mungu atamlinda rais J.P. Magufuli dhidi ya mafisadi papa na maadui wote wa roho na mwili. Amen.
Mkuu hujawaelewa tu CCM ndo zao kuja kuomba kura makono nyuma wakishapata kura makono mbele.J.P.Magufuli alihadi kwa kejeli akijaita majizi yote kupelekwa mahakamani pindi atakapokuwa rais leo nimeshuhudia akipigia debe watu waliojigawia mabilioni ya shilingi na kuyaita ela za mboga
my take:magufuli ni muongo sana anayekumbatia mafisadi kamwe hawezi lolote
J.P.Magufuli alihadi kwa kejeli akijaita majizi yote kupelekwa mahakamani pindi atakapokuwa rais leo nimeshuhudia akipigia debe watu waliojigawia mabilioni ya shilingi na kuyaita ela za mboga
my take:magufuli ni muongo sana anayekumbatia mafisadi kamwe hawezi lolote