Mtakuja kutupa watoto wenye msongo wa mawazo aisee daaah
Mimi nadhani subject specialization ingeanzia tokea darasa la tano au la sita huko mwanafunzi asome masomo anayoweza tu yasizidi matatu mpaka atakapofika elimu ya juu huko idadi ya masomo inaenda inapungua, itatusaidia sana kua na elimu...
Nenda kwenye setting, kisha tafuta kitu kimeandikwa about phone ukibonyeza hyo utaona kitu kimeandkwa update systeam then fuata maelekezo yote baadae ukisha update simu itazma ikiwaka nenda kwenye hyo update tena utaona kuna update mpya za setting za 2g au 3g au zote kwa pamoja
Nimesoa kitabu kimoja tu mpaoa sasa kwa mwaka huu nimeanza kukisoma kuanzia mwez wa kum na moja kinaitwa TOUGH TIMES NEVER LAST BUT TOUGH PEOPL DO kimeandikwa na Dr Robert H. Schuller
Mimi ni mteja wa king'amuzi cha DStv toka mwaka 2013, nimekua mteja wao wa kifurushi cha compact plus mpaka leo, ambapo malipo niliyokua nayafanya yaliniwezesha kuangalia ligi ya England kuptia super sport 3 na Super sport 7. Ambapo compact plus malipo yake kabla ya July 2015 yalikua 113000 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.