ipange vizuri hii: Assessment of the influences of classroom teacher- student relations on the student academic achievement. lakini mara nyingi title yaweza badilika inabadilika cha msingi uwe smart kwenye objectives.
Mkuu kwa uhakika wa kuelewa mazao gani yanatakiwa kupandwa kwenye shamba lako nakushauri uwasiliane na Kituo cha utafiti wa kilimo Mlingano, Tanga. Wao watakushauri vizuri sana baada ya kuchukua sampuli za udongo na kuzichambua kwenye maabara yao. Jamaa wapo vizuri sana tuwatumie, hutajutia...
Nakupongeza sana mkuu kwa kuliona hili, wizara hii ni miongoni mwa wizara za ovyo kweli kweli. Ina wasomi wengi sana wenye elimu kubwa hadi PhD na MSc lakini hata ukiangalia miundombinu ya majengo ya taasisi zake zinasikitisha sana, huezi amini kwamba ndani ya majengo haya kuna watu wenye elimu...
UKWELI ULIVYO UKITAKA KUMDANGANYA MWAFRIKA, MDANGANYE MSOMI
Na Victor Makinda- Imechapishwa kwenye Gazeti la RAI (Oktoba 26- November 1, 2017)
Afrika ni bara la giza. Sio giza lenye maana ya giza, la hasha. Giza kwa maana waafrika walio wengi wana uoni hafifu kuhusu kesho yao. Waafrika tulio...
Habari wakuu,
Naleta kwenu hasa vijana ambao hamna kazi, sasa usilalamike tena ingia kwenye linki hii ifuatayo na upate pesa kwa kuangalia matangazo. Kwa siku unaweza pata TSh.500,000/= mpaka 1000,000/=kutegemeana na juhudi yako ya kukaa kwenye komputa ikiwa na mtandao wa komputa. Ingia kwenye...
Ndugu wana Jamiiforums.
Huyu bwana ni mkurupukaji kwenye maamuzi, na anajihusisha na RUSHWA YA NGONO KWA WALIMU WA KIKE. Ninaadika hapa kumuonya kwani walimu wengi wanalalamika juu yake. Bwana Kondo tenda haki na uangalie mwenendo wako kwani mahusiano mema ni bora kuliko pesa zako. Nakushauri...
Wakuu sina shaka mnaendelea na shughuli za ujenzi wa taifa letu.
Kama nilivyotangulia kusema hapo juu nahitaji haraka sana program ya SPSS version 17. Computa yangu ni window 7, nipo Korogwe kwa wiki hii ya xmass. Alie tayari kwa logistics anipm.
Wana JF, natumai mko vizuri.
Naomba mwenye uzoefu na ujenzi anisaidie. Nitahitaji matofali mangapi ya sementi (BLOCK) ili kujenga nyumba hii hadi boma kuisha. Naomba kuwasilisha, KARIBU.
Wadau natumai mko shwari. Leo nimepita hapa Korogwe, Tanga nimekuta msako wa TRA dhidi ya bajaji ambazo hazijalipa mapato. Hivi serikali hawakuiondoa bajaji kwenye kodi ya mapato? Mwenye taarifa sahihi na uelewa tafadhali atupie, isije kuwa tra wanaonea watu tu kwa sababu hawajui. KARIBU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.