Recent content by Kds lady

  1. K

    Kwa uimbaji wa nyimbo za injili, wasabato wameweza kusimamia maadili

    Kama nyimbo zakidunia watu wanacheza mpaka jasho vipi juu ya mungu muumba wetu silazima tuwe vichaa kwakucheza na kuimba?!,hata wakileta style mbalimbali zote tutacheza,kwani tusipo cheza sisi mawe yatacheza.inaonekana wewe hufanyag mazoezi.
  2. K

    Kanisani Pekupeku

    We achana na hao pekupeku we chakuangalia unauhusiano gani na mungu wako,unamfanyia anavyotaka au kaz yako kuchunguza tu din za watu?ifike sehem tutambue hizi ni nyakati za mwisho kilamtu ajichunguze yeye kwanza kabla ya mwingne.
  3. K

    Ama kweli kifo hakipendwi: Soma hii

    Kama wote ni majina yenu ni zz bas majambaz wangeamua kuanza na silab inayofuaja sijui utasema naitwa zweva badala ya eva
  4. K

    Natamani kuachana na wife

    We kaka achamawazo finyu huyo ni mkeo na wakat unamuoa ulitabasam sana ulifkil uko kwenye bustan ya eden nn? Ukasahau kuna shda sasa jtambue mpeleke kwenye maomb kwan jehova ndo kila kt akuna limshindalo labda ww ukaid.amna
  5. K

    Ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B): Dalili, ushauri wa kinga na tiba yake

    Mtuakipata akiwa anatumia dawa anao uwezo wa kuambukiza?
  6. K

    Tumeokoka kwa neema,naomba majibu

    Babuyako ni muongo alikuwa mlev alaf anasema malaika wamemfuata,hao sio malaika wa mungu ni malaika wa pepo,labda kabla ajafa aliongozwa sala ya toba.kwan kila amwaminie YESU KRISTO na kubatizwa na kutenda yaliyo mema huyo ameokoka.amina!
  7. K

    MADHARA YA DAWA ZA KUONGEZA MAKALIo

    Hii mbaya sana,wote wanaojigeuza kuwa na maumbo kumbe ni pasi wote waoze kama mwenzao uyo.thanx mzizi mkavu!
  8. K

    Napokaribia kufika kileleni naanza kuunguruma

    We charger mbona unavituko sana!hahahaaa
  9. K

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Asante ndugu,kwahyo izo karanga unazfanyaje?
  10. K

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Nahtaj msaada nasumbuliwa na chunus na makovu meus kwenye sura yangu nitumie nn,nahtaj majibu mazur tafadharin nduguzang.napenda nguz yangu iwe nyororo.
  11. K

    Furaha yang imetimia

    Jaman siku zote nltaman kuwa memba wa humu ndan leo ni shangweee!humu ndan kutamu kwel,hakuna mawazo mawazo humu!!nahtaj ushirikiano wenu
  12. K

    Kwa anayejua maana ya kubemenda atujuze

    Kuzaa mfululizo.
  13. K

    Love

    Una fanya kazi gan?vgezo hvyo nnavyo
  14. K

    Jamani nimecheka kidogo nizirai.

    Hohohoooh!!iko poa iyo,il jkwaa ni noma
Back
Top Bottom