Jamani nimecheka kidogo nizirai.

Jamani nimecheka kidogo nizirai.

Kwenu mpo wengi mpaka sebuleni mmejenga roundabout....unadamu chungu mpaka mbu akikung'ata anasukutua
 
Kwenu walokole hadi chakula mnapikia msalaba
 
Roho yako inarukaruka kama yameingia mahindi ya bisi.
 
jogoo wenu ni mvivu akiwika wa jirani na yeye anaitikia na mimi hivyohivyo
 
Umekondeana mpaka ulipovunjika ulipigwa picha kwa camera badala ya x-ray
 
Wewe ni mzembe hadi mafundisho ya kanisani unayaendea tuition
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom