Recent content by kdc

  1. K

    Lipumba asema Maalim Seif amewasaliti Wazanzibar na watanzania. Adai kuacha chama sio suluhisho

    Hivi huyu si anasema mara walishamfukuza Maalim sasa analalama nini?
  2. K

    Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

    Hapa nimechoka sijui ulikua unamaanisha hivyo au mimi nashidwa kuisoma hii picha.
  3. K

    Series (Special thread)

    Mkuu hii kitu imetulia sana inaitwa Tom Clancys Jack Ryan.
  4. K

    Kafulila apewa za uso alivyojibu hoja za Zitto kuhusu ripoti ya CAG

    Hivi ndo umefika huku mkuu.Mambo ya msingi kushadadia kama simba na yanga?? Kweli siasa zinatufanya maslai ya Umma hatuyapi tena kipaumbele tunaangalia maslai ya pande zetu.
  5. K

    Zitto Kabwe: Ni muhimu kuweka muktadha wa mapambano ya kidemokrasia. Vitu muhimu vya kupigania ni hivi...

    Mkuu wewe unaona hiyo katiba unayotaka inaweza kupatikana ndani ya muda mfupi uliobaki hadi 2020?
  6. K

    Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba!

    Umesomaa alichoandika Mwisho kamalizia hivi Kwanza MBOWE na Chadema hawajavunja sharia, ila wamekiuka kanuni kuandamana bila kibali, ila yale hayakuwa maandamano ya kupangwa, imetokea dharura, hawakutendewa haki, hivyo wamekuwa provoked na kulazimika kuandamana, kufuatia kwa nini CCM tuu ndio...
  7. K

    Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba!

    Nilichogundua JF watu hawasomi hadi Mwisho.mngesoma alichoandika Pasco hadi mwisho.
  8. K

    Kwenye hili, CHADEMA mlikurupa na kuchemsha sana

    kwa hili uko sahihi haikua vyema kuchagua upande kwenye siasa za Kenya mbaya zaidi Upinzani kuunga mkono chama tawala Kenya. Shida hawataweza kulikubali hili kosa.Kama kweli ni chama kilicho komaa inabidi kijitokeze na kukiri kosa kwenye hili bado hawajachelewa.
  9. K

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mzee baba mbona unagubu hivyo. Haipendezi kabisa kila siku kusimangana kwa kitu ambacho kila mtu amepewa uwezo wake wa kufikiri.tukubali kutokukubaliana kwenye some issues.hakuna sababu ya kulalamika kila kukicha kubali kua na yeye anaweza kua na mtizamo tofauti wewe then tusonge mbele.au kama...
  10. K

    Pingamizi zito dhidi ya mgombea wa CHADEMA kutoka kwa mgombea wa CUF

    Unajua tofauti kati ya Jina na Majina kamili?? Nimepokea kutoka kwa............. Mjina Kamili.....................
  11. K

    Msukuma: Ukiwa na kinu cha kutwangia kisamvu hicho ni kiwanda tayari jiongeze!

    Mkuu aliyeleta mada ameleta kishabiki na kwa nia ovu nimesikiliza hoja ya Msukuma ni alikua anamjibu mtu anayetaka Kununuliwa mashine ya kusaga kisamvu kwababu havipatikani supermarket ndo Msukuma akajibu kwamba angeanza kuchukua kinu atengeneze kisamvu apeleke sokoni kikinunuliwa na kuisha ndo...
  12. K

    Ruge Mutahaba huwezi vita mara zote huambulia patupu

    Vipi Fiesta Hadi asubuhi nani mshindi? ?
  13. K

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mie nimesoma Rules za 201718 ndo nimekuwekea hapo https://www.uefa.com/MultimediaFiles/Download/Regulations/uefaorg/Regulations/02/46/71/38/2467138_DOWNLOAD.pdf inawezekana uko sahihi ila support hoja yako kwa kanunu.Mimi nilikua sijui ila niakenda kutafuta kanuni za 2017/18 nikakuta hiyo.
Back
Top Bottom