Ruge Mutahaba huwezi vita mara zote huambulia patupu

Hahahaaa at least ana uhakika Wa kwenda chooni bila kutumia nguvu nyingi pambana na hali yako achana na Ruge ndio mitihani aliyopewa na Mungu hata wewe una yako halafu ungese wooooote ulioandika hata baiskeli ukute huna Ruge Ruge nenda basi wewe ukapewe hiyo nafasi na kusaga.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Ruge ni binadamu anayependa sana ligi wakati huohuo hawezi ligi na hajawahi kushinda ligi hata moja toka aanze kupambana. Amekuwa ni mtu mwonevu sana kwa wasanii wachanga na wadogo lakini anapofika kwa manguri hukwama vibaya sana na watu wote ambao ashawahi kuingia nao kwenye ligi kwa sasa ni matajiri hatari wa kutupwa

Alianza kwa joseph haule akakwama leo joseph ni mbunge
Akaja kwa sugu akakwama vile vile leo hii sugu ni mbunge na anamilik hotel
Akaja kwa komando jide akakwama vibaya sana hadi akaomba poo mwenyewe licha ya jide kutaa kusuluhishwa lakini baadae uongozi wake uliluhusu nyimbo za komando machozi kupigwa kwenye redio

Kwa dudu baya napo pia ulikwama
vita uliyopigwa vibaya sana ni ile ya Erick Shigongo leo hii mwenzako ni bilionea wa kutisha wewe bado unaendelea kulamba miguu ya kusaga kwa kusubiri ujira ili ulipwe kwa mwezi

Majizo naye anaelekea kukupiku mishen town akakunyanganya demu ukabaki unalia kama mtoto ambaye kanyimwa mandazi au pipi mafua

Kwa sasa napo upo kwenye vita na kolomije boy na tayari ushaanza kuomba poo na kusalimu amri acha kutafuta huruma ya rais na wananchi pambana mwenyewe usituingize sisi kwenye vita yenu ambayo hata haituhusu

Zamani ulozoea kwa mshikaji wako jk ulikuwa ukiguswa tu kidogo unapiga simu ikulu leo yupo ngosha zama zimebadilika mkuu.

Vita ambayo ushawahi kushinda ni ile ya mwana dada ruby

Nanyupu

LONDON BABY
Vipi Fiesta Hadi asubuhi nani mshindi? ?
 
Watu kama hawa ndo husababisha ajari kutokea Mara kwa Mara kwa laana kama hizo.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Ruge ni binadamu anayependa sana ligi wakati huohuo hawezi ligi na hajawahi kushinda ligi hata moja toka aanze kupambana. Amekuwa ni mtu mwonevu sana kwa wasanii wachanga na wadogo lakini anapofika kwa manguri hukwama vibaya sana na watu wote ambao ashawahi kuingia nao kwenye ligi kwa sasa ni matajiri hatari wa kutupwa

Alianza kwa joseph haule akakwama leo joseph ni mbunge
Akaja kwa sugu akakwama vile vile leo hii sugu ni mbunge na anamilik hotel
Akaja kwa komando jide akakwama vibaya sana hadi akaomba poo mwenyewe licha ya jide kutaa kusuluhishwa lakini baadae uongozi wake uliluhusu nyimbo za komando machozi kupigwa kwenye redio

Kwa dudu baya napo pia ulikwama
vita uliyopigwa vibaya sana ni ile ya Erick Shigongo leo hii mwenzako ni bilionea wa kutisha wewe bado unaendelea kulamba miguu ya kusaga kwa kusubiri ujira ili ulipwe kwa mwezi

Majizo naye anaelekea kukupiku mishen town akakunyanganya demu ukabaki unalia kama mtoto ambaye kanyimwa mandazi au pipi mafua

Kwa sasa napo upo kwenye vita na kolomije boy na tayari ushaanza kuomba poo na kusalimu amri acha kutafuta huruma ya rais na wananchi pambana mwenyewe usituingize sisi kwenye vita yenu ambayo hata haituhusu

Zamani ulozoea kwa mshikaji wako jk ulikuwa ukiguswa tu kidogo unapiga simu ikulu leo yupo ngosha zama zimebadilika mkuu.

Vita ambayo ushawahi kushinda ni ile ya mwana dada ruby

Nanyupu

LONDON BABY
Ruge naye siyo Wa mchezo , Tatizo huwa anataka kuwanyonya wasanii , Mwangalie Afande Sele alichowahi kumfanyia.
 
Hua anatumia watu wengine kupata sympathy.
Mfano kwenye hili la Fiesta ilibidi a wapige chini wasanii ili mamlaka za juu ziamue.
 
kuna kijiukweli fulani hapo
hapo kwa ruby daaah jamaa kamfanya nandy aimbe kama ruby mpaka sauti
mi sipendi anavyowafanyia wasanii anatengeneza ile kitu ya kufanya kila msanii amuogope na kumsujudu wakati hayo ni mambo ya kizamani
Mi nadhani bado kuna shida kubwa saaana kwenye industry ya mziki.
Hivi clouds huwa anasema kama nani?
Producer,promota ama meneja?
Unataka kuniambia ili msanii asikike ni lazima awe chini ya clouds?
 
Cha kushangaza mwenye mali CMG hana bifu na wana, yeye biz tu, mkielewana/msipoelewana poa, sijuwi kwanini wanaongalia mali wanakuwa wakuda, rostoki na roho mbaya kuliko wenye mali?!
Heeee...kumbe sio Mali yake?
 
Back
Top Bottom