Recent content by KBOSCO

  1. KBOSCO

    UDOM: Mwakibinga hana kosa, wanafuzi wagoma kuingia darasani mpaka wamuachie huru

    Niko jasiri mkuu. Pamoja na ujasiri,huwezi ukafanya movements kibubu tu. Lazima kuwepo vitu convincing. Sasa kiongozi mmemuamini then anakuwa mbwa mwitu,kwamba muendelee kumtrust? Huko nikwenda kibubu! You can not convince me such a way easy.
  2. KBOSCO

    CCM maji ya shingo Rukwa!

    Hapa hakuna cha mapadre,maaskofu,wachungaji wala mashehe,wote wameanza kuhubiri upuuzi tu. Wameacha Injili na Tourat wameanza kuhubiri Politics. Yaan ibada niyakumsimima askofu au kuchangia msikiti,97% ya mahubiri/mawaidha ni ESCROW,IPTL,MAGAMBA e.t.c. Foolish!
  3. KBOSCO

    Pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa Kikwete

    Kwamba nje anakoshinda huko anakuwa anaomba hela za bajeti tu? Waswahili wanasema, "Mtembea bure........". Yaan kweli misele yote hiyo akose wakumpa ata dollor kadhaa PRIVATELLY?! Don't kid us brother.
  4. KBOSCO

    UDOM: Mwakibinga hana kosa, wanafuzi wagoma kuingia darasani mpaka wamuachie huru

    Someni #mburura nyie. Halaf nimechukia sana kuona uzi wakiji.ga kama huu. Mtu mwenyewe hujajua namna yakupanga visa kwenye taarifa yako,badala yakukazana darasanai ujue reporting angalau,wewe unawaza upuuuzi. U'CCM na U'CHADEMA hapo UDOM haukuanza leo. Tangu miaka kadhaa huko nyuma(sisi...
  5. KBOSCO

    Kinana na Nape musiseme maneno kabla hamjaonana na wenyewe

    An other poor thread. i.e "Illogical". Sijaielewa. Phrase yakwanza,unaikuta hiyohiyo katikati na mwishoni tena. Unaweza ukawa na maana nzuri. Lakini kwa mpangilio huo, ni headache.
  6. KBOSCO

    Bilionea Mmiliki wa Shule za Mwilamvya Afariki

    Hahahaaaa! Haijalishi bro. Kikubwa nikwamba msela kamla unyumba yule she!. Then wakatengana baadae. .....Au?
  7. KBOSCO

    Hivi ndivyo ninavyomfahamu Edward Lowassa; wewe je?

    Nadhani nikwasababu umechokonolewa pabaya mno! Jikaze. Ndo utu uzima.
  8. KBOSCO

    Kingunge: Wagombea urais CCM hakuna msafi

    Mwenyyewe namshangaa huyu mzee. Amekuwa too general. Hajiamini kiufupi.
  9. KBOSCO

    Lowassa Akiongelea Uwezekano Wa Usuluhishi wa Msongamano wa Magari jijini Dar es salaam, etc

    Sure! Na hata ukichungulia BAOBAO 28;02, ukaruka tena kwenye 09-13, utapata ukweli huo.
  10. KBOSCO

    Gazeti la Charlie Hebdo kuchapisha katuni za Muhammed tena

    Teh! kuna watu na mazuzu kweli. Yaani wanachokifanya BOKO HARAMU & ALSHABABU ni msaada ule ,eeeeeh?? Masikio yako!
  11. KBOSCO

    Natafuta kazi ya Muda

    Uko wap na unasomea nini? Njoo "PM". Usisahau kuweka PICHA YAKO. Muhimu!
  12. KBOSCO

    Asante Magufuli ila chamoto nimekiona

    Nitoeni ushamba wakuu, hii inaitwa "inbox" au "PM"??? Nisaidieni iyo kitu inaitwaje humu "JF"
  13. KBOSCO

    Kuna tatizo lolote ktk picha hii?

    Tusimhukumu jamani. Anawezakuwa "anachatt!!" labda. .......Au?
  14. KBOSCO

    Bilionea Mmiliki wa Shule za Mwilamvya Afariki

    Apumzike kwa Amani huyu bwana. Namfahamu vizuri. Nami nimkazi wa zamani na mzawa huko kasulu-kigoma. Niko mpanda now. Nimewahi kulala geto moja na Maliyatabu . Wakati huo (i think mwaka 2000) kiangazi alikuja huku niliko kununua/kulangua mpunga akiwa na mwenzake mmoja. Hiyo ilikuwa nyakatizake...
Back
Top Bottom