kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 497
Ccm linajifanya takatifu no jambo baa sana kutaka update urais kwa kuipinda demokrasia kama MTU anaona anauwezo shindana usitake kubebwa.Napenda Ifweero hapendi wanaobebwaKati ya watu wanaoheshimika ndani ya CCM ni Kingunge Ngombare Mwiru. Leo katika mahojiano na mwandishi wa habari ITV amezungumza jambo ambalo wananchi hawana budi kuyazingatia.
Tuchague viongozi bora na si bora kiongozi. Pia kwa kauli ya kwamba hao wanaojitembeza sasa hivi siyo wasafi,Sasa je CCM imejiandaa vipi kupata mtu msafi?
Je, nani aliyemsafi ndani ya CCM?
Kuna kundi