KBOSCO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 376
- 83
Bila shaka hao mapadri wameupata wito wako na kama wana akili nzuri ya rohoni wataifanyia kazi. barikiwa tu na upate heri 2015.
Hapa hakuna cha mapadre,maaskofu,wachungaji wala mashehe,wote wameanza kuhubiri upuuzi tu. Wameacha Injili na Tourat wameanza kuhubiri Politics. Yaan ibada niyakumsimima askofu au kuchangia msikiti,97% ya mahubiri/mawaidha ni ESCROW,IPTL,MAGAMBA e.t.c.
Foolish!