Hivi ndivyo ninavyomfahamu Edward Lowassa; wewe je?

Hivi ndivyo ninavyomfahamu Edward Lowassa; wewe je?

Wakuu heshima mbele,

Kwa upande wangu hivi ndivyo ninavyomfahamu Mtafuta Urais wa JMT Mzee Edward Ngoyai Lowassa a.k.a mzee Mamvi mbunge wa Monduli mkoa wa Arusha

1) . Namfahamu Lowasa akiwa nyuma yangu chuo kikuu NI TAPELI NA MSANII BY PROFESSION

2 . Namfahamu Lowasa akiwa mkurugenzi AICC Arusha aliyechota hela za WB za ujenzi wa AICC estates hususani mabarabara ya estate ya KIJENGE

3 . Namfahamu Lowasa wa Boyz - 2 -Men ambao walikataliwa na marehemu JKN kwa sababu nzuri tu kuwa hawakui wanajilimbikizia mali kwa kutumia nafasi zao za uongozi . Au tuseme wanatumia vibaya nafasi zao za uongozi kwa madhilaya nchi na wananchi.

4 Namfahamu Lowasa wa Richmond na Dowans

5 . Namfahamu Lowasa ambaye hakukutana na JK barabarani

6 . Namfahamu Lowasa anaehongo viongozi wa dini mbali mbali na boda boda ili uaupate urais

7 . Namfahamu Lowasa anaecheza faulo za uchaguzi Monduli ili mradi CCM ionekane inashinda na vyombo vya dola vinamlinda kwenye kufanya hayo

8 . Namfahamu Lowasa mwenye ukwasi wa kutisha ( aliotuibia kama nchi ) ambao umefanikisha kuwanunua wajumbe corrupt wa CC na wa mkutano mkuu ili wampitishe kwenye kugombea urais .

9 . Namfahamu Lowasa mgonjwa ambae yuko tayari suala la urais limtoe roho

10 . Namfahamu Lowasa ambaye CCM nzima inamgwaya wanshindwa kumuwajibisha .

Wewe unamfahamu vipi Eddo..?


NB: wewe team lumumba buku saba mnaojadili watu na kubariki maovu ya mafisadi kana kwamba wote sisi hatuoni. Nakushauri anza na hatua ya kwanza uwe mkweli ndani ya nafsi yako halafu uwe na mtazamo huru .

UKWELI UTAKUWEKA HURU . Achana na kuwatetea wapuuzi mafisadi kumbuka tunaaswa " YARABI NAFSI YANGU" .Unaisaliti nafsi yako kwa shirki na waovu?
.............

Wewe ni sawa na kinyesi cha lowasa unawashwa tu lowasaa lowasaaaa.huyo ndo rais wetu jinga kubwa
 
SISI WANYONGE AMBAO MISHAHARA YETU YA MALIMBIKIZO HATUJALIPWA ZAIDI YA MIAKA MINNE IMEPITA HADI LEO HATUJALIPWA TEGEMEO LETU NI LOWASA TU NDIYE MWENYE UWEZO WA KUWABANA WAKURUGENZI.NJE YA C.C.M NI DR. SLAA TU. NI WAWILI TU AMBAO NDIYO TEGEMEO LETU.YAKALE YAMEPITA.Huyo Membe Mchague Akawe Rais Kwenye Ukoo Wenu. Sisi Tunaye Rais Wetu Tayari.
 
Lowasa ni mjeuri na wala haogopi mtu katika kufanya anayotaka Na ni mtu wa visasi pia ,CCM ikijitusu kumpitisha na akafanikiwa kuukwaa uraisi basi viongozi mbalimbali wa chama na serikali ambao wamekuwa kikwazo kwa mbio zake za uraisi watakoma

Mbona jk na visasi kwa kina babu seya mramba mahalu na yona lakini kapewa urahisi.joka wewe
 
Ww nan tuseme na ya kwako... Huna jpya kwahyo unafahamu mabaya tu.. Kwa hali hyo haumfahamu wananchi wanamjua hata kuliko ww kawaulize jimbon kwako..., halafu cyo wote wanajua lumumba mm mwananchi wa kawaida lakin nakuona umejitoa akili hutaki kusema mazur yake.. Fool
 
Mleta mada umeonyesha chuki binafsi.

Maana unajifanya unamfahamu Lowassa, lakini hujaweka ushahidi wowote wa tuhumu unazomtwisha!

Hizo porojo zenu hazimzuii Lowassa kuwatumikia watanzania kama mkuu wa nchi ifikapo October.

7 . Namfahamu Lowasa anaecheza faulo za uchaguzi Monduli ili mradi CCM ionekane inashinda na vyombo vya dola vinamlinda kwenye kufanya hayo.

Hapo kwenye red, mengine yote kwangu nayasikia lakini hilo nina ushahidi nalo. Simply hajui ushindani wa vyama vingi bado ana mawazo ya kihafidhina na ni kati ya wale wanaoamini ccm itatawala nchi hii milele. Mpelekeni kama miaka mitano ya ushauri nasaha wa udhaifu huu halafu 2020 aje tumpime tena.
 
Wakuu heshima mbele,

Kwa upande wangu hivi ndivyo ninavyomfahamu Mtafuta Urais wa JMT Mzee Edward Ngoyai Lowassa a.k.a mzee Mamvi mbunge wa Monduli mkoa wa Arusha

1) . Namfahamu Lowasa akiwa nyuma yangu chuo kikuu NI TAPELI NA MSANII BY PROFESSION

2 . Namfahamu Lowasa akiwa mkurugenzi AICC Arusha aliyechota hela za WB za ujenzi wa AICC estates hususani mabarabara ya estate ya KIJENGE

3 . Namfahamu Lowasa wa Boyz - 2 -Men ambao walikataliwa na marehemu JKN kwa sababu nzuri tu kuwa hawakui wanajilimbikizia mali kwa kutumia nafasi zao za uongozi . Au tuseme wanatumia vibaya nafasi zao za uongozi kwa madhilaya nchi na wananchi.

4 Namfahamu Lowasa wa Richmond na Dowans

5 . Namfahamu Lowasa ambaye hakukutana na JK barabarani

6 . Namfahamu Lowasa anaehongo viongozi wa dini mbali mbali na boda boda ili uaupate urais

7 . Namfahamu Lowasa anaecheza faulo za uchaguzi Monduli ili mradi CCM ionekane inashinda na vyombo vya dola vinamlinda kwenye kufanya hayo

8 . Namfahamu Lowasa mwenye ukwasi wa kutisha ( aliotuibia kama nchi ) ambao umefanikisha kuwanunua wajumbe corrupt wa CC na wa mkutano mkuu ili wampitishe kwenye kugombea urais .

9 . Namfahamu Lowasa mgonjwa ambae yuko tayari suala la urais limtoe roho

10 . Namfahamu Lowasa ambaye CCM nzima inamgwaya wanshindwa kumuwajibisha .

Wewe unamfahamu vipi Eddo..?


NB: wewe team lumumba buku saba mnaojadili watu na kubariki maovu ya mafisadi kana kwamba wote sisi hatuoni. Nakushauri anza na hatua ya kwanza uwe mkweli ndani ya nafsi yako halafu uwe na mtazamo huru .

UKWELI UTAKUWEKA HURU . Achana na kuwatetea wapuuzi mafisadi kumbuka tunaaswa " YARABI NAFSI YANGU" .Unaisaliti nafsi yako kwa shirki na waovu?
.............


Namfahamu Lowasa aliyeleta/simamia maji ktk Ziwa Nyanza mpka Mikoa ya Shinyanga kwenye Wilaya kama Kahama, na sasa mpaka Tabora na baadaye Singida!

Namfahamu Lowasa aliyesimamia Ujenzi wa Shule za Kata Tanzania nzima na sasa Mtoto wa Kitanzania anazaliwa kijijini fulani na hatoki kwenye Kata yake mpaka anafika Kidato cha nne!

Namfahamu Lowasa aliyevunja Mkataba wa kinyonyaji kati ya City Water ya Ulaya na DAWASA ambapo wazungu walitaka kubinafsisha maji yetu!

Namfahamu Lowasa aliye mcha Mungu na Mwenye mke mmoja na SI Mtu wa mchepuko bali amebaki njia Kuu!
 
Haya bana. Umesema vema, ndivyo unavyomfahamu wewe, kila mmoja anamfahamu kivyake. Tutayasikia mengi bado.
 
Tanzania tuna tatizo kubwa la rushwa, je mtoa rushwa mkubwa kama Lowassa atawezaje kupambana na rushwa?

hili ni swali zito sana sijui kama kuna mtu atakayeweza kukujibu
 
Mleta mada umeonyesha chuki binafsi.

Maana unajifanya unamfahamu Lowassa, lakini hujaweka ushahidi wowote wa tuhumu unazomtwisha!

Hizo porojo zenu hazimzuii Lowassa kuwatumikia watanzania kama mkuu wa nchi ifikapo October.
alafu ni ccm mwenzetu
 
Kilaza mkuu umekuwa mkweli kuhusu Edo!!
Naongezea buku7 njoo mkanushe;
1. Alijimilikisha shamba la Bwn Miller Kijenge Mwanama, akaweka PPF complex.
2.Akachukua Jumuiya Tour akaform Leopards Tours.
3.Akatuingiza mkenge wa RICHIMOND, DOWANS, HADI SYIMBION mpaka leo tunalia na charge za TANESCO!!
4. Akahamisha fedha kununua majumba matatu London kwa mpigo, Fred akakamatwa huko ikaonekana fedha ni za familia ya Lowasa!!
5.Anamiliki hisa za kibabe AirTel, Voda etc kupitia CO ya Alphatel!!
6. Ni mtu hatari muulize S Kubenea ya tindikali, mbunge Nasari karibu auwawe Makuyuni kwa amri ya Edo!!
HATARI SAANA USIKATIZE ANGA ZAKE!!
 
Last edited by a moderator:
mleta mada umeonyesha chuki binafsi.

Maana unajifanya unamfahamu lowassa, lakini hujaweka ushahidi wowote wa tuhumu unazomtwisha!

Hizo porojo zenu hazimzuii lowassa kuwatumikia watanzania kama mkuu wa nchi ifikapo october.

is msalani a real person or a robot ?
 

Attachments

  • 1421225217740.jpg
    1421225217740.jpg
    18.3 KB · Views: 269
wakuu heshima mbele,

kwa upande wangu hivi ndivyo ninavyomfahamu mtafuta urais wa jmt mzee edward ngoyai lowassa a.k.a mzee mamvi mbunge wa monduli mkoa wa arusha

1) . Namfahamu lowasa akiwa nyuma yangu chuo kikuu ni tapeli na msanii by profession

2 . Namfahamu lowasa akiwa mkurugenzi aicc arusha aliyechota hela za wb za ujenzi wa aicc estates hususani mabarabara ya estate ya kijenge

3 . Namfahamu lowasa wa boyz - 2 -men ambao walikataliwa na marehemu jkn kwa sababu nzuri tu kuwa hawakui wanajilimbikizia mali kwa kutumia nafasi zao za uongozi . Au tuseme wanatumia vibaya nafasi zao za uongozi kwa madhilaya nchi na wananchi.

4 namfahamu lowasa wa richmond na dowans

5 . Namfahamu lowasa ambaye hakukutana na jk barabarani

6 . Namfahamu lowasa anaehongo viongozi wa dini mbali mbali na boda boda ili uaupate urais

7 . Namfahamu lowasa anaecheza faulo za uchaguzi monduli ili mradi ccm ionekane inashinda na vyombo vya dola vinamlinda kwenye kufanya hayo

8 . Namfahamu lowasa mwenye ukwasi wa kutisha ( aliotuibia kama nchi ) ambao umefanikisha kuwanunua wajumbe corrupt wa cc na wa mkutano mkuu ili wampitishe kwenye kugombea urais .

9 . Namfahamu lowasa mgonjwa ambae yuko tayari suala la urais limtoe roho

10 . Namfahamu lowasa ambaye ccm nzima inamgwaya wanshindwa kumuwajibisha .

Wewe unamfahamu vipi eddo..?


Nb: Wewe team lumumba buku saba mnaojadili watu na kubariki maovu ya mafisadi kana kwamba wote sisi hatuoni. Nakushauri anza na hatua ya kwanza uwe mkweli ndani ya nafsi yako halafu uwe na mtazamo huru .

Ukweli utakuweka huru . Achana na kuwatetea wapuuzi mafisadi kumbuka tunaaswa " yarabi nafsi yangu" .unaisaliti nafsi yako kwa shirki na waovu?
.............

lowasa ndo mtaji wa ushindi kwa ukawa 2015 waache wamchague tuu mkuu...hatokuwa mgombea wa ukawa atakuwa ni wa ccm ambao wengi ni dhohofu l hal
 
Hivi kwanini baadhi ya wana-CCM wanatumia nguvu kubwa kumchafua Lowassa?!.

Mathalani God forbid ikatokea CCM akawa ndiye mpeperusha bendera yenu kwenye kiti cha Urais wa JMT, mtatumia maji na sabuni gani kumsafisha huyu Lowassa mbele ya UKAWA tishio.

Inaelekea CCM mmekata tamaa, hamtaki tena kiti cha Urais wa JMT.
 
Back
Top Bottom