May the Almighty God give them ( Masoud and his wife together with the entire family) the Grace to endure the very painful loss of their beloved son, so i pray. My sincerely condolence.
Daah........hii habari imenisikitisha sana. Kwa kweli we have a long way to go na ninaamini tutamaliza na Mungu tu. Pole Mr. Melo, mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ili urejee kuungana na familia yako.
Nje ya mada:
Naombeni msaada: Nilitumiwa ile app ya wasap ya bila internet......sasa wakati nasajili kwenye simu, sehemu ya kuweka namba ya simu nikachanganya nikaweka namba ya simu nyingine badala ya ile ya simu ninayoisajili. Imekataa kufanya kazi inaniambia hakuna ofa hiyo kwa huku nilipo...
Yaani ata hiyo simple additional imewashinda. Idadi ya kura imezidi waliojiandikisha halafu wanatuletea &???__???=% ₩+@!^#*^(&$#&(@&() ?$#;'=_3&^??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.