Kilio Cha Miti
Member
- Oct 11, 2015
- 14
- 1
Ndundu wana Jamvi naombeni ushauri na busara zenu kuhusu mchumba wangu.
Kwa mara ya kwanza tulifahamiana tulipokutana kazini kisha tukawa marafiki na kuendeleza urafiki kwa miaka kadhaa.
Wote tunapendana na wote tumefanikiwa kupata kazi ila yeye kipato chake kiko juu kuzidi mimi na pia ananizidi umri kwa mwaka mmoja na nusu japo kua mwili wake ni mwembaba kwahiyo sio rahisi mtu kujua kama ananizidi umri.
NAOMBENI BUSARA NA USHAURI WENU KAMA INAFAA MIMI KUWA MME WAKE...
NAomba kuwasilisha,
Kilio cha Miti
Kwa mara ya kwanza tulifahamiana tulipokutana kazini kisha tukawa marafiki na kuendeleza urafiki kwa miaka kadhaa.
Wote tunapendana na wote tumefanikiwa kupata kazi ila yeye kipato chake kiko juu kuzidi mimi na pia ananizidi umri kwa mwaka mmoja na nusu japo kua mwili wake ni mwembaba kwahiyo sio rahisi mtu kujua kama ananizidi umri.
NAOMBENI BUSARA NA USHAURI WENU KAMA INAFAA MIMI KUWA MME WAKE...
NAomba kuwasilisha,
Kilio cha Miti