Mita 200: Jaji mkuu alisema ruksa, Chikawe naye amesema ruksa

Mita 200: Jaji mkuu alisema ruksa, Chikawe naye amesema ruksa

Hiyo nimeipenda sana kamanda mtoa hoja. Inabidi kweli tujipange tupeane nafasi, siyo wote tunajazana vituoni kwa wakati mmoja tunapiga alafu tunatoka wote.

Hiyo itatusaidia kubaini njama zozote ovu dhidi yamabadiliko. Mimi tayari nimelifanyia kazi kwakuwapa taarifa makamanda wenzangu huku mbezi, tumejipanga tutapishana kilamtu kwanusu saa. Yaani tumeshapanga kuanzia saa12 ataanza mmoja anaingia ktk foleni, saa12:30 anafuata mwingine, saa1:00 mwingine, saa1:30 mwingine........ hivohivo mpk muda wakufunga.

Nawengine tumekubaliana wasubiri mpk dakika za lala salama ili wawe wamwisho. Hii itasaidia sana kugundua dalili zozote zenye utata.

Piiiiiiiiipppppooooozzzzz!!!!!

Makele na muanzisha uzi Mungu awabariki. Yaani nilikuwa ninafikiria hivi hivi ili kushinda udhalimu wa maficiem. Nimefarijika sana kuona wapenda nabadiliko tunafikiri kwa namna ile ile. Wanabadiliko wote kama kuna ambaye ana simu za viongozi wa UKAWA, teammabadiliko, teamlowassa, nk tafadhali wasiliana nao kuhusu mkakati huu ili wausambaze kwa wananchi wote wapenda mabadiliko na ikiwezekana iwe mojawapo ya HOJA kuu katika mikutano ya kufunga kampeni, kesho.
 
Wanajukwaa,

Kutokana na baadhi ya maeneo kuwa na population kubwa [wapiga kura wengi] na kituo kimoja kina uwezo wa kuhudumia wapiga kura 450 hivyo vituo vimeongezwa,

katika vituo vilivyopangwa umbali kutoka kituo kimoja hadi kingine ni mita 200 vingine mita 250.
mfano
kuna kituo A, B Na C.

Kituo B kipo mita 200 kutoka kituo A.
Kituo C kipo mita 300 kutoka kituo B.
[A_B=200m, B_C=300m]


Ina maana, ukikaa mita 200 ya kituo A, unakuwa 0_meter (ndani ya kituo cha B] au ukikaa mita 200 ya kituo B, unakuwa mita 100 ya kituo C, au ukienda the same side mita 200 unakuwa 0_meter ya kituo A [ndani ya kituo A].

je tutakaa wapi hapo hasa wa kituo B?
Mungu Ibariki Tanzania.

youngsharo
Uko sahihi mjini ukienda mita 200 utakuwa ndani ya eneo la kituo kingine.Ndio maana polisi na tume wakasema kila mtu akipiga kura aende kwake sababu huwezi kaa mita mia 200 usiwe ndani ya eneo la kituo kingine.
 
Safi sana, huku niliko bado sijawajua wanamabadiliko wenzangu ili tujipange
 
Uko sahihi mjini ukienda mita 200 utakuwa ndani ya eneo la kituo kingine.Ndio maana polisi na tume wakasema kila mtu akipiga kura aende kwake sababu huwezi kaa mita mia 200 usiwe ndani ya eneo la kituo kingine.

mmmh! unachekelea tu ili mpige goli la mkono.
 
Safi sana, huku niliko bado sijawajua wanamabadiliko wenzangu ili tujipange
Tafuta po pote pale katika eneo lako ambapo unaona bendera ya CDM au CUF au NCCR inapepea. Hicho ni kituo cha mabadiliko na utakutana na mwanabadiliko mmoja au wawili.
 
  • Thanks
Reactions: Kbd
Umetisha sana mkuu werrason,sijui ulikuwa wapi siku zote maana hii mbinu ni hatari sana.
Laiti kama tungeijua mwezi mmoja uliopita ingekuwa poa sana,ila it's not too late yet,tujipange sasa.
 
Last edited by a moderator:
Tafuta po pote pale katika eneo lako ambapo unaona bendera ya CDM au CUF au NCCR inapepea. Hicho ni kituo cha mabadiliko na utakutana na mwanabadiliko mmoja au wawili.

Asante sana kamanda, nitafanya hivyo
 
maalim seif yeye atapiga kura na atarudi nyumbani... wewe baki uone kazi ya jeshi na matumizi ya magari ya washawasha
 
Safi sana, huku niliko bado sijawajua wanamabadiliko wenzangu ili tujipange

Wewe ni mgeni maeneo hayo mkuu?
Kama sio mgeni umefanya kosa kubwa sana,huu ni wakati wa kujichanganya na wenzio kitaa.
 
  • Thanks
Reactions: Kbd
maalim seif yeye atapiga kura na atarudi nyumbani... wewe baki uone kazi ya jeshi na matumizi ya magari ya washawasha

Labda majeshi mapya ila ya zamani kazi yake inajulikana nayo ni kuilinda ccm, magari ya washawasha huku kwetu tumeyazoea labda hayo yaliyoletwa kama yatakuja na maji yake toka yalikonunuliwa
 
Umetisha sana mkuu werrason,sijui ulikuwa wapi siku zote maana hii mbinu ni hatari sana.
Laiti kama tungeijua mwezi mmoja uliopita ingekuwa poa sana,ila it's not too late yet,tujipange sasa.

Kwenye ujambazi, na wizi serikali inatuambia tufanye ulinzi shirikishi kwenye uchaguzi wanajidai polisi wanaweza kudhibiti what is the secret behind the scene???
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na mita 200; Tunalinda kura kwa mtindo huu pia.
Sisi wenyewe wana mabadiliko tusiende kupiga kura kwa wakati mmoja la! Liwepo kundi litakalowahi sana, hili litapiga kura na kurinda asubuhi.

Pili liwepo kundi litakalofika vituoni kuanzia saa tano hili litapiga kura na kulinda mchana.
Tatu liwepo kundi litakalowasiri vituoni vituoni kuanzia saa nane hili litapiga kura na kulinda jioni.
Baadaye makundi yote haya yataungana kusubiri matokeo
kwa amani na uturivu.
Tumeelewana?
 
Wewe ni mgeni maeneo hayo mkuu?
Kama sio mgeni umefanya kosa kubwa sana,huu ni wakati wa kujichanganya na wenzio kitaa.

Mgeni kidogo maeneo haya kamanda, na muda mwingi nakua kazini.
 
Ngoja nufungue duka langu alafu mlinzi nimuambie awe anakaa mita 200 nione athari zake namimi…!!! Hivi wanapotaka kutangaza kura munaruhusiwa kusogea mpk mita 0…!! Kama hapana mutasikiaje ayo matokeo mkiwa mbali wa mita 200…!!??
 
Kwanza Kabisa Nakupongeza Sana Mkuu Wangu, Kwa Mbinu Hii Ni Nzuri Sana. Nadhani Kabla Ya Kufanyiwa Kazi Na Viongozi Wa UKAWA Basi Sisi Ni Vyema Tuka amasishana Wenyewe Kwa Wenyewe Juu Ya Jambo Hili Ili Kukabiliana Na Majambazi Ya Chama Cha Mapinduzi.

Maana Safari Hii Ccm Hawana Ubavu Wa Kuiba Kura, Ujanja Wanaotaka Kuufanya Ni Kwenye Fomu Za Matokeo, Na Kuwalaghai Mawakala.
 
Back
Top Bottom