Mabadiliko ya kodi yapo japi siyo asilimia 100 kama inavyoelezwa mf toyota harrier 2007 mwaka jana kodi ilikuwa 10.8mil mwaka 2018 ni 13.5mil.Napata changamoto kuelewa chazo ya madiliko ni nn....!! Mwisho huyu jamaa anachanganya mambo mala kulaza ccm hapo una mix madesa.......mtu anafanya...
Jamani ini most cases gharama za tra zinaonekana kwenye calculator yao huwa ni hizo hizo kubadilika ni kama ulikosea kuingiza data ama kupanda na kushuka kwa dola different ni ndogo.
Gharama za bandari,gharama za agenti wako,bila kusahau shipping line.Pia gari ikikaa zaidi ya siku zinazoruhusiwa na bandari gharama za bandari zitaongezeka i mean storage charge na kama hukufanya inspection japani utalipia 30% Tbs hapo storage charge itakuwa halali yako.
Panapostahili pongezi pongeza na panapostahili kukemea kemea, mpaka round hii ya ishirini city yuko vizuri mpaka sasa waingreza wenyewe hawaamini wanachokiona.Jamaa PEP anatisha mourinho mwenyewe kakimbilia kusema hakupata hela za usajili za kutosha...!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.