Yupo sahihi, mimi nipo Tz lakini mikoa mingi hutumia kificho, au maeneo maalum, kwa mfano Tanga unaenda pembeni ya mji, kule sabasaba. Mikoa kama mbeya, kilimanjaro, n.k ni wazi kabisa...sio uarabuni tu huko sijui a sijafika.
1.Namba msaada kwa mtaalamu yeyote humu ndani,
2. Msaada kujua faida na changamoto za UKURASA au page ya kwenye FB.
Kuna Malipo..
Na yanalipwaje??
Asante.
Unatakiwa kuhudhuria hapo, kama sio wewe basi MTU wako wa Karibu sana. Mie nipo site mpaka kinasomeka. Mifuko IPO kwenye Gari natoa mmoja mmoja, ikiisha unajua imeisha.
Lufingo pr school Rungwe Tukuyu, kulikuwa Mwalimu anachapa viboko Shule nzima bila kuchoka,,,tulimchukia sana 1981-1987...tulimpenda sana Mwl wa siasa Na E.K. Julius Ngori...alikuwa anatufanya kuipenda Shule.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.