Coz ni hatarishi kama gongo na bangi,kiufupi vitu vyote haramu ufanywa mafichoniNatumaini hamjambo.
Kama wewe ni mdau kidogo au sana katika maswala ya ulaji ama ununuzi wa nyama ya nguruwe, basi utakua unanielewa zaidi katika uzi huu.
Hivi ni kwanini maeneo karibia yote kwa Dar hata baadhi ya mikoa mengine nyama hii pendwa huuzwa mafichoni kama magendo hivi?
Ni kwanini pia huwa hakuna mabango mazuri ya kuvutia wateja?
Karibuni wazoefu wa mambo mtuelimishe zaidi.
Balaa! Nisubiri nikirudi twende woteeeKitamu eeeh?.... Jpili naenda hapo
Natumaini hamjambo.
Kama wewe ni mdau kidogo au sana katika maswala ya ulaji ama ununuzi wa nyama ya nguruwe, basi utakua unanielewa zaidi katika uzi huu.
Hivi ni kwanini maeneo karibia yote kwa Dar hata baadhi ya mikoa mengine nyama hii pendwa huuzwa mafichoni kama magendo hivi?
Ni kwanini pia huwa hakuna mabango mazuri ya kuvutia wateja?
Karibuni wazoefu wa mambo mtuelimishe zaidi.
Wekeni hata tupichaVitu vyote vitamu vinauziwa mafichoni mifano ni mingi.
Bangi
Kitimoto
Changudoa
Amberutty
Acha kueneza uongo dhidi ya imani za wenzio. Kuna waislam na wenye majina ya kiislam. Muislam wa kweli hali kitimoto. Labda hao wenye majina.Ni unafki tu....sababu wateja wake wengi ni waislam na wengi ni masheikh….wanakula sana hii kitu na hawataki kuonekana hadharani kuhofia kuchomwa moto au kupigwa mawe hadi kufa na waumini wao.
Mpeleke sinza pale Villa hutajuta
KiboriloniNenda moshi wanafungwa kama kuku tu
Yupo sahihi, mimi nipo Tz lakini mikoa mingi hutumia kificho, au maeneo maalum, kwa mfano Tanga unaenda pembeni ya mji, kule sabasaba. Mikoa kama mbeya, kilimanjaro, n.k ni wazi kabisa...sio uarabuni tu huko sijui a sijafika.Utafiti wako ni batili maana umeufanya Saudia ukitarajia kuutumia Tanzania.
NJOO HAPA MAKAO MAKUU YA ACT WAZALENDO UONE YAANI BONGE LA TANGAZO UTAFIKIRI VODACOM TENA WAMECHORA NA NYAMA YENYEWE YAANI NI TAMU BALAANatumaini hamjambo.
Kama wewe ni mdau kidogo au sana katika maswala ya ulaji ama ununuzi wa nyama ya nguruwe, basi utakua unanielewa zaidi katika uzi huu.
Hivi ni kwanini maeneo karibia yote kwa Dar hata baadhi ya mikoa mengine nyama hii pendwa huuzwa mafichoni kama magendo hivi?
Ni kwanini pia huwa hakuna mabango mazuri ya kuvutia wateja?
Karibuni wazoefu wa mambo mtuelimishe zaidi.
Hivi unaijua manyara au unacoment uonekane umecoment et wapagannguruwe ni nyama haramu kulingana na Quran takatifu na Enjili 'madhubuti' hivyo ni nyama ya wasio na dini na mkoa huu sio wa Kipagani kama Manyara na etc
msifananishe uislam na mashekh mashehena mnaokaanao huko mitaani uislamu una misingi take ambae anaifuata huitwa muumin sio hao wa majina mnaojidanganyaKitimoto lazima kiuzwe chochoroni kutokana na watumiaji wengine hawapendi wajulikane,,,mfano mashekhe lazima wale kwa kujificha ili wasigundulike hii inatokana na mji kutawaliwa na waislam wengi
astaghafirullah X 3Aiseeeeeeeeeeeee keko machungwa balaaaaaView attachment 1691825