Recent content by Kazabuti

  1. K

    Modem mpya za tigo

    Wana jamii nisaidiene kama kuna any apdat ya software ya kuanilock modemu hizi pia kama kunamwajamii mwenye software ya Huawei modem unlocker 5.7.7 nimejaribu 5.81 nimeunlock temporary. :hail:
  2. K

    Chemsha bongo: Shilingi 100 iko wapi?

    Jumla ya deni unalodaiwa siyo shillingi 4800 mahesabu yako yana mkanganyiko lekebisha
  3. K

    Sifa mbaya za makabila yetu

    Do!!!!!!!!!! takwimu hizo zinaonyesha asilimia za makabila ya tanzania ni; 40% wavivu ( hawapendi kazi ) 30% wachawi 15% umalaya 10% ukabila 5% wakatili
  4. K

    Noti mpya hazina ubora?

    Huo ni ufisadi uliokomaa wakuu, habari nilizonazo kuhusu note mpya zilitolewa kwa sababu ya noti za zamani kutumika sana kwenye uchaguzi uliopita hivyo benki kuu ikapungukiwa mshiko, sululisho ikawa ni kuchapisha noti mpya.
  5. K

    Kirefu cha kkkt

    Kanisa la kikombe kimoja tanzania, mambo ya babu yaho!!!!!!!!!!!!!
  6. K

    Majina ya vituo vya daladala sehemu mbalimbali

    Yemini, Parestina,\ darajani mwisho/ mwanzo Gereji, :shetani: binyau,
  7. K

    Jamani Jirani yangu huyu!

    Safi sana inabidi umshukuru jirani yako huyo kwa kukupa mbolea bule bila malipo yoyote na ua wako utastawi ile mbaya, kwakuwa nifamilia nzima utakuwa na mbolea ya kutosa ongeza bustani ya mboga mboga hapo kwako, timiza ahadi za kilimo kwanza.
  8. K

    20% na Kili Awards

    20%20% Noma kweli hajatundea haki mashabiki kwa kutokea mjengoni. anakubarika ile mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  9. K

    Huu siyo utani... Mafuta wiki ijayo 3000 kwa lita????

    Haitatokea kijana unahitaji matibabu ya babu kijana, toka lini mkojo ukawa nishati kimiminika may be nishati gasi inawezekana
  10. K

    Nisaidieni wapi nikasome IT

    Kama unataka elimu nzuri kasome DIT utaiva kitechnologia mkuu.
  11. K

    Kila siku ugomvi

    Ha! ha..Wadau huyo binti haoni mama yake kavumilia kupata hicho kimoja japo ni kwa taabu sana, binti ongeza vionjo ( ubunifu) hilo litakuwa suluhisho la kipigo.
Back
Top Bottom