Wana jamii nisaidiene kama kuna any apdat ya software ya kuanilock modemu hizi
pia kama kunamwajamii mwenye software ya Huawei modem unlocker 5.7.7 nimejaribu 5.81
nimeunlock temporary. :hail:
Do!!!!!!!!!! takwimu hizo zinaonyesha asilimia za makabila ya tanzania ni;
40% wavivu ( hawapendi kazi )
30% wachawi
15% umalaya
10% ukabila
5% wakatili
Huo ni ufisadi uliokomaa wakuu, habari nilizonazo kuhusu note mpya zilitolewa kwa sababu ya noti za zamani kutumika sana kwenye uchaguzi uliopita hivyo benki kuu ikapungukiwa mshiko, sululisho ikawa ni kuchapisha noti mpya.
Safi sana inabidi umshukuru jirani yako huyo kwa kukupa mbolea bule bila malipo
yoyote na ua wako utastawi ile mbaya, kwakuwa nifamilia nzima utakuwa na mbolea ya kutosa ongeza bustani ya mboga mboga hapo kwako, timiza ahadi za kilimo kwanza.
Ha! ha..Wadau huyo binti haoni mama yake kavumilia kupata hicho kimoja japo ni kwa taabu sana, binti ongeza vionjo ( ubunifu) hilo litakuwa suluhisho la kipigo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.