GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Kabla ya yote kwanza naomba ufafanuzi juu ya vitu hivi kama vina utofauti. IT, ICT & Computer science. Baada ya hapo naomba kufahamu ni wapi hapa Tanzania naweza kupata elimu nzuri ya masomo hayo, Nakusudia elimu nzuri na si cheti kizuri. Tena hata kama haitambuliki na serikali hiyo sehemu lakini kama elimu yake ni nzuri kuliko vyuo vya serikali naomba nielekezwe. Nahitaji kusoma kozi ya mwaka mmoja mpaka mitatu.