komedi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 204
- 17
Jamani jana nimeona huko nyumbani bongoland vigogo wa serikalini wananunua petroli wanajaza fulu tenki, halafu wanajaza kwenye magaloni wanakwenda nayo nyumbani. Leo kamera zangu nilizozitegesha huko zinaonyesha mafuta yameisha kwenye vituo mbalimbali vya mafuta.
Wanajamvi serikali inataka kubinafsisha Ewura? Au wenzetu wana taarifa gani? Ama barabara ya meli za kuleta mafuta imefungwa kwa matengenezo????
Jiandaeni kutumia mkojo kwenye magari yenu.
From: www.JFudaku.net.co.com.org.tz.go.gov.loliondo
Wanajamvi serikali inataka kubinafsisha Ewura? Au wenzetu wana taarifa gani? Ama barabara ya meli za kuleta mafuta imefungwa kwa matengenezo????
Jiandaeni kutumia mkojo kwenye magari yenu.
From: www.JFudaku.net.co.com.org.tz.go.gov.loliondo