Huu siyo utani... Mafuta wiki ijayo 3000 kwa lita????

Huu siyo utani... Mafuta wiki ijayo 3000 kwa lita????

komedi

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
204
Reaction score
17
Jamani jana nimeona huko nyumbani bongoland vigogo wa serikalini wananunua petroli wanajaza fulu tenki, halafu wanajaza kwenye magaloni wanakwenda nayo nyumbani. Leo kamera zangu nilizozitegesha huko zinaonyesha mafuta yameisha kwenye vituo mbalimbali vya mafuta.

Wanajamvi serikali inataka kubinafsisha Ewura? Au wenzetu wana taarifa gani? Ama barabara ya meli za kuleta mafuta imefungwa kwa matengenezo????

Jiandaeni kutumia mkojo kwenye magari yenu.

From: www.JFudaku.net.co.com.org.tz.go.gov.loliondo
 
Sina uhakika kama una akili timamu.hata ivo napita tu sidhani kama ntarudi.
 
Watoto wa chekechea wanaruhusiwa humu jamvini ama?
 
wewe ni mwehu kabisa,una umri gani labda tujue kwanza pengine tatizo umri
 
Hao wanaojaza mafuta na kwenda nayo nyumbani wanataka kuleta balaa la moto baada ya hayo mafuta kulipuka, maana cku hizi Watu wanatumia sana mishumaa, c unajua habari ya mgao wa umeme.
 
sawa 2uu kwan nauli nayo c buku au hujui kama unagal usitoe lifit
 
Haitatokea kijana unahitaji matibabu ya babu kijana,
toka lini mkojo ukawa nishati kimiminika may be nishati gasi inawezekana
 
Sina uhakika kama una akili timamu.hata ivo napita tu sidhani kama ntarudi.

Nakupa senksi tena kwa kutoa huu, hata huu unafaa kuwa nishati mbadala kwenye gari, umekunywa nini maana kama harufu ya Loliondo hivi!!!!!
 
Thread yako inafanana na jina lako!!! Mtoto wa chekechea utamjua tu:A S 13:!!
 
Asante kwa taarifa njema, sikujua kabla kuwa mkojo ni nishati mbadala!!!
 
Back
Top Bottom