Kwa hyo mkulu akitoka bado hali itaendelea kuwa huvyo?mi naona tuautishane sana,akiondoka watakuja na yao na siajabu walio soma binafis watapewa kipaumbele.wewe unayemtakia mtoto Elimu bora kaza buti tu mkulu akienda sana mwisho ni 2025,atakaye kuja atakuja na grisi,hii haina miongozo kila...
Ukija pm nitakupa ushuhuda wangu,na naamin hitajuta na utaanza ujenzi Mara moja.kwa kuwa una kiu ya kuhamia kwako inawezekana kabisa,usirudi nyuma tafadhari
Wewe hyo pesa inatosha kabisa hata ukipungukiwa ni kidogo sana.ila mafundi wa dar wana bei ukiweza tafuta wa mkoan wana bei nzuri,M2 itakufikisha sehemu utabakiza finishing tu na hiyo utaifanya ukiwa umeshahamia.hao wanao kutisha wamejenga??na kama wamejenga basi vipato vyao si haba.mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.