Recent content by kayihula

  1. kayihula

    Je, Mungu ndiye aliyeumba dhambi?

    Duuh ni nani sasa? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. kayihula

    Marais 12 wa Afrika waliouawa wakiwa madarakani

    Aise tima jero kwangu,Alikuwa anatoka Tanzania,mda ndenge ilipopinduliwa ilikuwa majira ya saa8:45 usiku,
  3. kayihula

    Nikikumbuka naumia sana

    Fanya kile (nafis)Moyo unakupa kupenda kufanya,ambacho mwisho wako hakitakuwa majuto!
  4. kayihula

    Ushauri: Nimejenga nyumba lakini kabla haijaisha nikafukuzwa kazi

    Ebu nipe contact za huyo mtengeneza machine za mkaa
  5. kayihula

    Serikali inataka kuua na kuzorotesha shule binafsi?

    Kwa hyo mkulu akitoka bado hali itaendelea kuwa huvyo?mi naona tuautishane sana,akiondoka watakuja na yao na siajabu walio soma binafis watapewa kipaumbele.wewe unayemtakia mtoto Elimu bora kaza buti tu mkulu akienda sana mwisho ni 2025,atakaye kuja atakuja na grisi,hii haina miongozo kila...
  6. kayihula

    Sitakaa nikarudia kununua Tanzania 'used car' nimekoma

    Duu nimepata angalau ka Elimu
  7. kayihula

    Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

    Ukija pm nitakupa ushuhuda wangu,na naamin hitajuta na utaanza ujenzi Mara moja.kwa kuwa una kiu ya kuhamia kwako inawezekana kabisa,usirudi nyuma tafadhari
  8. kayihula

    Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

    Wewe hyo pesa inatosha kabisa hata ukipungukiwa ni kidogo sana.ila mafundi wa dar wana bei ukiweza tafuta wa mkoan wana bei nzuri,M2 itakufikisha sehemu utabakiza finishing tu na hiyo utaifanya ukiwa umeshahamia.hao wanao kutisha wamejenga??na kama wamejenga basi vipato vyao si haba.mwanaume...
Back
Top Bottom