HeartBreak
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 346
- 27
Leo mida ya saa 11:30 jioni tukitokea dar na mv. Kilimanjaro kuja znz tuona maiti ya mwanaume ikiwa inaeleya kwenye bahari kuu maeneo ya chumbe..msafiri kafikiri...!!! Maiti nyingi sana zitakuwa bado ziko chini na inavyoonekana kila bahari inavyo chafuka maiti zinaibuka!!!