Post yako inadhihirisha namna wengi tusivojua yanayohitajika kwenye ndoa kila mwanandoa ataleta mawazo yake pengine kwa kufeli au alipofaulu mtihani wa ndoa binafsi naamini kutimiza mahitaji ya mwanamke ni gumu aamue mwenyewe
Mkuu hayo maisha nimeyaishi kwawiki unashiba mara moja shule ada ilikuwa 200 nahaikulipika kwa maisha yangu yaleo sio kama jana lakini bado napambana nipate uhakika wakula kwanza masikini hana mipango mikubwa kama yenu nawanaamani kuliko hao wenye uhakika labda kwenye magonjwa
Siku ukiwakuta...
Mkuu hayo maisha nimeyaishi kwawiki unashiba mara moja shule ada ilikuwa 200 nahaikulipika kwa maisha yangu yaleo sio kama jana lakini bado napambana nipate uhakika wakula kwanza masikini hana mipango mikubwa kama yenu nawanaamani kuliko hao wenye uhakika labda kwenye mago
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.