Hii nayo naibiwa wajameni? mana imekuwa hakuna habari njema hadi utoe pesa kwanza.
kuhusu hao wa scholarship za Scholars Hub Africans wanasema full funded lakini kuna pesa zilipwe kukamilisha usaili wa MBA studies Texila American University. hivi nao wanaukwel wowote?
last month hao coca na Pepsi nimewaonesha matapeli wengine tunahofu ya Mungu hawatuwezi hata wakisomea degree.ukitaka kuamini nenda nao sawa for fun hadi watagotea kuwa to release your fund, Authority ya kule uingereza inakutaka uende.au laa basi wanakuconnect na mawakili in partnership to Pepsi...
nili reply kabla sijapitia za wengine.nimegundua kumbe unasumbua akili na muda wa wenzio kushauri kitu ambacho hakipo.unasikia raha gani kuwa muanzisha mada za uongo? hivi hujui kama kuna wenye matatizo ya kweli wanahitaji umakini wetu.I feel sorry for you my dear,you real make me regret to...
boss ni mwanaume kwenye jamii kama wanaume wengine.hata ww unaweza kuwa boss,je vijana wenzio wakuvunjie vioo? angalia sana kurupu zako.we muangalie kwa vigezo vya mwanaume kama atafaa kuwa wako au laa.lakini we umetanguliza inferiority mbele wakati hujaolewa.huyo c boss ni mwanaume anakuhitaji...
sijapenda the way alivyo na mapuuza.mi alinisikitisha mwanzo ila aliposema ukwel wake nilitamani kumchapa.kwann sasa hiyo tabia ya uzinzi kiholela please Fanya ya kale.kwa sasa tulia na mpenzi mmoja mwaminifu angalia ndoto zako kwani unahitaji kuwa na watoto na kuwalea pia hivyo vyoye...
mwalimu unadharaulisha fani.unaleta stori za watu walikuambia upuuzi gani.yaani umetudharau sana na ss tuanze kukushauri uchepuke wakati hujaenda hospt.mi niliachwa kisa sizai kwa mateso sana.nimerudi home nikazunguka hospt mayai yanazalishwa,mji wa mimba uko sawa ila mirija iliziba baada ya...
karibia wadada wote humu wameplay part kwa wanaume zao tena zaidi ya mmoja kihivyo kama mchaga huyo.ila wamekuja kula maisha wengine sasa hali hii zaidi ya Mara tatu humgeuza mwanamke na kungojea vilivyotayari kwamba labda ndo style.inachosha unajua kuibiwa project yako uliyowekeza kwa miaka 13...
unatamanije kuwa kahaba? ndugu yangu unaumri gani na elimu yako kazi yako jee? vinatosha kukufariji ukivuta muda mzuri kwako atatokea tuu.ukahaba haupendezi kwanza hata nafsini tu.ukiona hatokei chukua nafasi zaa mtoto wako nahakika atakuelekeza namna ya kuishi kuliko ukiwa bila mtoto na...
nilikomba akiba yangu Benji kuwekeza namaingo.hadi sasa siamini kama wamenidhurumu au miradi inachelewa kwa sababu nje ya uwezo wao.tuliyokubaliana mwanzo na maelezo yao mengine unashawishika kuwekeza hatimae unakutana na matamko mapya kila siku.wamenikwaza sana eti asiehudhuria masomo alhamisi...
nguvu ya mapenzi naiamini inaweza kuharibu maisha ya mtu.jaribu kufanya vinavyofurahisha nafsi yako kama music,swimming,football playing,sleeping na achana na mtu asie na moyo wa huruma.Leo utahurumia atakuumiza tena.labda kiubinadamu na taratibu kilaghai muulize angependa umpe msaada gani kwani...
aisee! tambua nawewe ungependa mtu akujie kwa staili ipi.Fanya hivyo pia kwa mwingine.vaa vizuri,jiamini unaweza kuongea nae kama rafiki,maelezo sahihi ya bidhaa yako na bidhaa zenyewe beba ,kuwa jeuri kidogo usife moyo kwa hali utakayo kutana nayo kule.sali kabla hujatoka nyumbani.Barikiwa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.