jina langu
Member
- Jul 16, 2017
- 54
- 97
Asalaam Aleykum walahmatullaah taallah wabaraqatuh!
Moja kwa moja niende kwenye point
Mimi ni mjasiriamali ila kuna shughuli nataka kupitia kufanya mashuleni na nilipenda kabla sijaenda mashuleni nitangulie kumuona afisa elimu wilaya.
Kwa mnaojua utaratibu wa kuwaona hawa waheshimiwa ni mbinu gani nzuri hasa kati ya kuwapigia simu, kuwaandikia barua, kuwafuata direct, kupitia mlinzi wake au njia gani nzuri hasa na vipi kuhusu kuwa ukiingia kwenye ofisi zao huwa wanadharau sana na huenda wasikusikilize, Je ni kweli? Na je anaweza kumpokea mtu yeyote kama mimi ambaye sina hata hadhi ya usomi wowote????
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja kwa moja niende kwenye point
Mimi ni mjasiriamali ila kuna shughuli nataka kupitia kufanya mashuleni na nilipenda kabla sijaenda mashuleni nitangulie kumuona afisa elimu wilaya.
Kwa mnaojua utaratibu wa kuwaona hawa waheshimiwa ni mbinu gani nzuri hasa kati ya kuwapigia simu, kuwaandikia barua, kuwafuata direct, kupitia mlinzi wake au njia gani nzuri hasa na vipi kuhusu kuwa ukiingia kwenye ofisi zao huwa wanadharau sana na huenda wasikusikilize, Je ni kweli? Na je anaweza kumpokea mtu yeyote kama mimi ambaye sina hata hadhi ya usomi wowote????
Sent using Jamii Forums mobile app