Recent content by kaxno

  1. kaxno

    Swali kwako Kamishna wa Polisi Sabas

    Kamishna katumia nguvu nyingi kwenye Technologia ndio madhara yake sasa.
  2. kaxno

    Swali kwako Kamishna wa Polisi Sabas

    Hii Spana sio ya nchi hii
  3. kaxno

    Funza kwa ajili ya mifugo

    Hahahaaaaa aisee kweli akutake radhi mkuu
  4. kaxno

    TARURA waanza kuita watu kwenye Usaili kwa walioomba kazi kwenye tangazo la tarehe 8/12/2017

    Yalikuwa poa sana mkuu. Wametuletea maswal ya certificates aiseee full kukanyagana
  5. kaxno

    TARURA waanza kuita watu kwenye Usaili kwa walioomba kazi kwenye tangazo la tarehe 8/12/2017

    Mzee nami naingia dom kesho tuonane tupeane maujanja ya hapa na pale
  6. kaxno

    TARURA waanza kuita watu kwenye Usaili kwa walioomba kazi kwenye tangazo la tarehe 8/12/2017

    Ni bora kuipata hata hyo ya mkataba kuliko kusugua bench
  7. kaxno

    TARURA waanza kuita watu kwenye Usaili kwa walioomba kazi kwenye tangazo la tarehe 8/12/2017

    Wale wazee wa Bebit balance should be corresponding with Credit balance naomba tukutane tarehe 1march pale dodoma. Maombi yenu muhimu
  8. kaxno

    Hukumu ya Joseph Mbilinyi (Sugu) ni kesho, wanaMbeya wanasema ama zao ama mbunge wao

    Ungekuwa mwana mbeya usingeongea hayo maneno ya kutumwa na basi la Lumumba. Unafikir wanaume wa mbeya kama wa Dar? Hatuyumbishwi na tunataka mbunge wa jiji letu aendelee kututumikia akiwa nje.
  9. kaxno

    Mpenzi wangu anamsifia mwanaume mwenzake ambaye ni mpenzi wangu mwingine

    Inawezekana ukawa unamdate chakula ya watu
  10. kaxno

    Ushauri: Mume wangu kampa mimba msichana wa kazi

    Nawe kabebe ya house boy
  11. kaxno

    Nimeachwa tena, sijui tatizo langu ni nini?

    Kama una mikucha mirefu kama kalishika utakuwa huoshi vizuri PuRu
  12. kaxno

    Kama askari upelelezi: Kwa tukio kama hili ungefanyaje kubaini mhalifu?

    Hiyo career ina watu smart sana na hata siku moja hawawez fanya ujambazi bila kuwa na usafiri wa kuwatoa eneo la tulio na gari huwa silence au boda boda bse wanajua anything can happen. Sasa from no where wamkute mtu anapark gar yake wasepe nae...... sema hii ni story tu kama ndoto za abunuasi...
Back
Top Bottom