Mafundi wa kibongo usipo kua makini wanaua gari yako. Na mbaya zaidi ukijifanya rafiki nae. Kuna siku nipo kwa fundi nikakuta kuna mteja kabla yangu nikasema nasubilia mpk umalizane na uyo. Kumbe mm nausoma mchezo wake kwenye ile gari mteja kaja na oil na filter na break pads zake zote...
Sio kwa mwezi ni kwa mwaka.
Uwakika kudaka kwa mwezi isipokua siku za ckukuu na wkend azihesabiwi kwenye gawio.
Usipo elewa tembelea ofisini kwao VODACOM.
All the best.
Kazi ni kipimo cha utu
Nilijua tu ipo siku kesi kama hz zitaanza kutamalaki kwenye serikali ya chura aka kizimkazi. Wateule wamelewa madaraka haswa. Mpk Wana yumba sasa.
Kazi ni kipimo cha utu
Wakati G.S.M anachangia pesa kwenye kampeni za CCM pale mlimani city alijua anaenda kumegewa kipande cha nchi hii. Naona wakati ndio huu. CCM chini ya chura aka kizimkazi aina mda n watanganyika. Na nakwambia n bado hapo wamejaribu tu.
Kazi ni kipimo cha utu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.