Recent content by kawombe

  1. kawombe

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kikubwa cha sukari kujengwa Tanga -Korogwe

    Utasikia vilio kwa wanakijiji soon. Baada ya mafisadi kuingilia ulipaji w fidia kwenye maeneo yao wakulima na wanyonge hasa watanganyika. Kazi ni kipimo cha utu
  2. kawombe

    JamiiForums Tanzania Taharuki: Mchezaji Neo Maema Atoweka Kambini Alfajiri ya Leo

    Unakatwa nn? Mbona unaharaka mno. Kazi ni kipimo cha utu
  3. kawombe

    JamiiForums Tanzania DOKEZO TANAPA kwafukuta

    Serikali ya ss imejaa mijizi mno. Na mbaya zaidi yakiiba Yana tesa tu mjini kiongozi. Mkuu anasema tuwaseme mpk waone aibu!! Kazi ni kipimo cha utu
  4. kawombe

    JamiiForums Tanzania KERO Mkataba wetu na Kampuni ya EROLINK umeisha, tumebaini hatujaingiziwa stahiki za NSSF, tumefuatilia hadi tunachoka

    Ni JONSON bado ajaacha ubabaishaji tu? Si ni bilionea muhaya huyu. Poleni kwa changamoto. Anajivunia connection ya JK. Kazi ni kipimo cha utu
  5. kawombe

    JamiiForums Tanzania Samia anaamini wazanzibar waliungana kumpigia kura, ila haamini watanganyika waliungana kuandamana(kumkataa) bila kulipwa na mtu

    Na hii ndio hoja kuu km watanganyika. Kazi ni kipimo cha utu
  6. kawombe

    JamiiForums Tanzania Nianzie wapi? nataka kuoa na kipato changu ni around 300k kwa mwezi

    Oa ukiwa na 30 age's. Kwa ss wekeza kwenye project yako ipande kwa mwezi hata ikifika 450 au 500. Mungu akupatie hitaji la moyo wako. Kazi ni kipimo cha utu
  7. kawombe

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Wazanzibar wote tulishikana katika Uchaguzi, ndio maana ikapandisha ushindi hadi 97%

    Hahaha 😆!! Uzanzibari bila kua n utanganyika. Naona anajitekenya wazanzibari kwa uwingi wao hawafikii hata JIJI la DAR. Kazi ni kipimo cha utu
  8. kawombe

    JamiiForums Tanzania Magori: Selemani Mwalimu mchezaji gani yule wa kumlipia Tsh. Bil. 1 kwa mkopo?

    G.S.M na YANGA kuna mchezo wanacheza sana w M.L Muda ndio mwalimu mzr. Kazi ni kipimo cha utu
  9. kawombe

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa mabasi wapewa wiki moja kurejea stendi ya Magufuli

    Hii ni aibu kwakua inaenda kubuma live kabisa. Chezea wenye misuri yao. Kazi ni kipimo cha utu
  10. kawombe

    JamiiForums Tanzania Jay Rutty na Wewe acha Kutuchanganya na Upuuzi wako sijui wa X-FACTOR kama unasajili Mchezaji sajili huwezi / huna Hela tafadhali nyamaza

    Mvulana unapo lilia pesa z mwanaume. Kazi ni kipimo cha utu
  11. kawombe

    JamiiForums Tanzania Haka kamchezo ka leo kamenichekesha sana!

    Sikiliza Dunia ujue kwamba mm sio wako. Kazi ni kipimo cha utu
  12. kawombe

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Mwenye ndugu upande w baba mbona hujaolewa umezalishiwa kwenu hapo hapo. Kazi ni kipimo cha utu
  13. kawombe

    JamiiForums Tanzania JF Houseparty

    Watu wasio julikana. Mpk wajulikane tu. Kazi ni kipimo cha utu
  14. kawombe

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    Rest in peace 🙏 Kazi ni kipimo cha utu
Back
Top Bottom