Recent content by kawombe

  1. kawombe

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Mafundi wa kibongo usipo kua makini wanaua gari yako. Na mbaya zaidi ukijifanya rafiki nae. Kuna siku nipo kwa fundi nikakuta kuna mteja kabla yangu nikasema nasubilia mpk umalizane na uyo. Kumbe mm nausoma mchezo wake kwenye ile gari mteja kaja na oil na filter na break pads zake zote...
  2. kawombe

    JamiiForums Tanzania Mume wa Rais Samia azikwa Kizimkazi, Zanzibar

    Kufa kufa tu so what's? Kazi ni kipimo cha utu
  3. kawombe

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya Barabara ya Mbagala–Mkuranga: Adha ya Kila Siku

    Ni hatari mno kwa gari n abilia. Kazi ni kipimo cha utu
  4. kawombe

    JamiiForums Tanzania Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Samia Suluhu Hassan, Tushamfukia tayari.. Amekufa mapema

    Kufa kufa tu so what's? Kazi ni kipimo cha utu
  5. kawombe

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Tayri tumekua watoto wa SINGLE MOTHER. Kumbe nae anafiliwa? Mungu ni mkali bhana. Kazi ni kipimo cha utu
  6. kawombe

    JamiiForums Tanzania Umewahi kutembea na mpenzi wa rafiki yako?

    Kumekucha Kazi ni kipimo cha utu
  7. kawombe

    JamiiForums Tanzania Habari ya asubuhi wakuu. Wale ambao ni watumiaji M-WEKEZA tusaidieni mawili matatu kuhusu akiba baada ya kuitumia

    Sio kwa mwezi ni kwa mwaka. Uwakika kudaka kwa mwezi isipokua siku za ckukuu na wkend azihesabiwi kwenye gawio. Usipo elewa tembelea ofisini kwao VODACOM. All the best. Kazi ni kipimo cha utu
  8. kawombe

    JamiiForums Tanzania Kijana adaiwa kutekwa na wasiojulikana kwa kumkasirisha binti wa kigogo katika mapenzi!

    Nilijua tu ipo siku kesi kama hz zitaanza kutamalaki kwenye serikali ya chura aka kizimkazi. Wateule wamelewa madaraka haswa. Mpk Wana yumba sasa. Kazi ni kipimo cha utu
  9. kawombe

    JamiiForums Tanzania Serikali kutaka kuhamisha watu Temeke ili kupisha Bandari Kavu ni ukatili wa kiwango cha juu. Hii Serikali ni ya Kijamaa kweli?

    Wakati G.S.M anachangia pesa kwenye kampeni za CCM pale mlimani city alijua anaenda kumegewa kipande cha nchi hii. Naona wakati ndio huu. CCM chini ya chura aka kizimkazi aina mda n watanganyika. Na nakwambia n bado hapo wamejaribu tu. Kazi ni kipimo cha utu
  10. kawombe

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa Makamu Rais Mstaafu Balozi, Dr. Emmanuel Nchimbi Yuko Salama, Hajazuiliwa, Hajashikiliwa ni Ameamua Kutulia, Kunyamaza!

    Ameamuliwa au ameamua? Na ww sio mtoto wala mke wake. Kazi ni kipimo cha utu
  11. kawombe

    JamiiForums Tanzania Puma Energy Tanzania kupitia PUMAGAS yaanza ziara kuhamasisha matumizi ya gesi ya kupikia

    Hoja sio kuhamasisha matumizi. Hoja y muhimu ni kushusha bei y GAS ⛽️ tu. Kazi ni kipimo cha utu
  12. kawombe

    JamiiForums Tanzania Jana raia anatekwa mchana kweupe mlimani City waziri hujazungumzia hilo unamuongelea Dudubaya. Wananchi tukueleweje?

    Taifa sio salama tena. Yy anataka kukutana na mashoga tu. Kazi ni kipimo cha utu
  13. kawombe

    JamiiForums Tanzania Chid Benz msimamo wake kwa Katambi umeleta gumzo. Jamaa hajaonesha unyonge

    Tangu lini mteja akawa shujaa? Kazi ni kipimo cha utu
  14. kawombe

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa mikoa hatujawapeleka huko kuwa wafalme bali kuwa watumishi wa wananchi - Rais Samia

    Mbona yy ni mfalume Kazi ni kipimo cha utu
Back
Top Bottom