Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,750
- 861,162
Pamoja na nia ya ku create image na kutengeneza diversion ya kesi ya TAL lakini kuna juhudi za uzuri wa mkakasi zinatengenezwa kuonesha hakuna mpasuko wala hawasigani
Mdogo kaenda kumpa hi mstaafu! Hapa inaeleweka wazi kwanini imepangwa kuwa hivyo
Mkubwa akapelekwa kuonana na wagalatia. Kwa tension na chuki iliyopo kati yao.. Aliyepanga hii visit hakuwa na nia njema bali kumharibia
Chemistry ya leo formula ilikataa upande mmoja na kama ni mechi basi ilichezwa nusu uwanja
Hivi ni sawa kweli kuchanganya togwa na ulanzi!?
Kichekesho kikubwa ni kwamba mwamba aliyeko korokoni ndio kabamba,😂
Mdogo kaenda kumpa hi mstaafu! Hapa inaeleweka wazi kwanini imepangwa kuwa hivyo
Mkubwa akapelekwa kuonana na wagalatia. Kwa tension na chuki iliyopo kati yao.. Aliyepanga hii visit hakuwa na nia njema bali kumharibia
Chemistry ya leo formula ilikataa upande mmoja na kama ni mechi basi ilichezwa nusu uwanja
Hivi ni sawa kweli kuchanganya togwa na ulanzi!?
Kichekesho kikubwa ni kwamba mwamba aliyeko korokoni ndio kabamba,😂