Recent content by katibu12

  1. K

    Swali la kizalendo: Mabeberu ni kina nani?

    kahstori intyu 1983 amin ugandala boroko mutu 567 , intyu 1882 mabutyu boroko mutu 8654 , jukuyy murusu kuruka abeya simbawanga akuku msungule cheee.
  2. K

    Petition ya Mabadiliko ya jina la Ziwa Victoria

    Mukuruta Victoria akukusu vibroni , cheee mkukuru alisu ashinduku akurawe, huyuku iddi amini sukuruza mkurunzinza akusuwe nyerere kisurunga marusu mgerumani sukukumu 1982 kiizukuru madebe msururu mwanza, kiboroko.
  3. K

    Ni godoro gani zuri na imara Tanzania?

    Baada ya mavuno ni matumizi, naombeni msaada nina bajeti ya sh 250,000, naweza kupata godoro gani imara na la kudumu 5*6 inchi 8 ambalo haliweki shimo ukilalia na mtoto maana sitaki aibu, si mnajua vijana kutwa Mara tatu kama panado. Asanteni, angalizo mimi nataka ushauri kununua naenda...
  4. K

    Naomba sehemu ya kujitolea ili nipate uzoefu wa kazi na kuongeza ujuzi

    Mm nipo maeneo ya mlimani city , njoo nitakuelekeza SPSS na kuandaa odk hakuna shida Sent using Jamii Forums mobile app
  5. K

    Dada yangu amepima na kukutwa na Kansa ya kizazi naombeni ushauri

    Pole mkuu kila mtu anakansa , so usijali atapona. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    Nimwacheje huyu mama?

    aende kwenye nyombo vya sheria hyo kesi ya kuhujumu mapenzi , ni kifungo no dhamana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Ameniacha kisa sikumtumia SMS kumtakia "A happy birthday"

    hahaha ngoja nikwambie ndugu yaani , wasichana kama watoto , wanatakiwa inabidi asubuhi ukiamka umwandikie ujumbe mzuri wa kumtakia za asubuhi, mchana pia umwandikie ujumbe mzuri za kumtakia mchana mwema , jion na usiku pia. sasa ikifika siku ya kuzaliwa kwake wanapenda sana uwape zawadi na...
  8. K

    Naomba sehemu ya kujitolea ili nipate uzoefu wa kazi na kuongeza ujuzi

    Bado mzee wangu sijapata Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Mwenye nyimbo ya banza stone simba anaunguruma naomba. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Naomba sehemu ya kujitolea ili nipate uzoefu wa kazi na kuongeza ujuzi

    Ni mhitimu wa chuo , Nina miaka 23 , naomba sehemu ya kujitolea ili nipate uzoefu wa kazi na kuongeza ujuzi .ni mzoefu wa vitu vifuatavyo: 1) DATA COLLECTION AND DATA ANALYSIS Nina uwezo wa kuandaa maswali maswali ya kukusanya data site kwa njia ya kawaida na ya ODK. ninauwezo wa kuanalysis...
Back
Top Bottom