Baada ya mavuno ni matumizi, naombeni msaada nina bajeti ya sh 250,000, naweza kupata godoro gani imara na la kudumu 5*6 inchi 8 ambalo haliweki shimo ukilalia na mtoto maana sitaki aibu, si mnajua vijana kutwa Mara tatu kama panado.
Asanteni, angalizo mimi nataka ushauri kununua naenda...