Nimwacheje huyu mama?

Tatizo huyo jamaa anaokota mademu hapo hapo ofisini. Atafute demu sehemu tofauti na hapo aone kama huyo mama atakwa kero.
 
Mwambie huyo dogo anitumie namba ya huyo mama niangaike na mzee mwenzangu halafu nimuachanishe nae kwa mbinu za kibaharia
 
Tupo mzee, tunapiga nyungu, tunajifukiza bangi, halafu tunaji-sanitize na gongo, hii ndio lockdown ya uswazi kwa mama muuza.
Wataalam wa tiba wanasema sanitizer imesheheni kileo, Tena wanasema Coronavirus wanakaa kooni kabla ya kwenda kwenye mapafu, basi sisi tunawakomeshaje hao virusi?
Hivi mnywa gongo anaweza kupata korona kweli? maana ile inaunguza mapafu na virusi vikikumbana nayo lazima visande. Nawaza tu
 
akupe namba ya hilo jimama. itupie humu. nadhani muda si muda tatizo litaisha na hilo mama halitamtaka tena abadan
 
Habari za wakati huu wakubwa

Naileta kwenu mnisaidie nimshauri huyu kijana

Anasema yeye ni mfanyakazi mwajiriwa serikalini, ana miaka 33 mwaka mmoja uliopita alianzisha mahusiano na mwanamke mmoja mtu mzima 40yrs ambaye kicheo yeye ni mkubwa wake kazini. Baada ya kuwa nae akaja kugundua huyu mama ni mke wa mtu ana watoto 3 ila haishi na mume mumewe anaishi dodoma kikazi.

Baada ya kugundua hayo mwanaume akamwambia kama umeolewa tuishie hapa maana me nataka niwe na mtu ambaye nitakuwa na malengo naye.

Bi mkubwa akawa hataki kila jamaa akitafuta mwanamke mwingine mama yule anamwaribia jamaa anaachwa. Ikafikia wakati mama yule anamtisha kijana hadi kumuua na kwa kuwa yeye ni mkubwa kazini wakati mwingine anaanzisha visa huko kazini ili kumtisha kijana.

Kijana kapata gal mwingne keshamtambulisha kwao na wanapendana wana malengo ya kufunga ndoa ila bi mkubwa bado anamwaribia.

Kijana kaniomba ushauri je amripoti huyu mamma kwa menejiment ofisini au amtafute mume wa huyu dada amwambia ujinga anaomfanyia mkewe au aachane vipi na huyu mama. Mama kapagawa yupo radhi hata kuua ili asikose penz la huyo kijana

Ushauri wenu wakuu nitamshauri jamaa vzuri mkinipa mwongozo.
Kiongozi naweza kukupa MSAADA wa kuwaachanisha kama upo serious unataka akuache Ila ni Kwa njia ya Imani zetu izi za asili( Giza) kama unaitaji lakini kama hautaji pia basi.
 
Apo ni kujitayarisha kukosa ajira au uhamisho, ulijuwa uyo mama Kama unavyomwita alikuwa single? Ullichemsha kutokuchunguza na mashugamami wakikungangania athari zake ndo izo. Utakachofanya apo chochote wewe ndo utapata shida fanya maamuzi magumu broo, wajuulishe uongozi kazini ufukuzwe au upate uhamisho ukakae na mapenzi wako mbali na jimama.
 
Kwenye ofisi ninayofanya kazi niliwahi pewa stori hii

"Kuna mama mtu mzima aliwahi mpenda kijana mmoja smart pale ofisini akawa anagonga Raha za kikubwa na kijana .

Mama akanogewa kiasi kwamba wivu ulizidi kupitiliza sababu huyo mama alitalikiwa na mmewe na alikuwa na watoto wakubwa tu.

Siku szikaenda kijana anataka kutafuta wa umri wake afunge nae ndoa mama analeta kauzibe kila Mara

Jamaa akataka kuforce kingi ,ndio hapo Yule mama akamua kwenda kwa mganga akafanyiwa mafekeche aka muua jamaa"

Nilipofika tu hapo ofisini nikaambiwa be care Yule maza anapenda vijana achana nae .

Vijana kuweni makini msiendekeze akili za uchi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni rahisi sana.Dogo ale mzigo kiuvivu, yani apige mechi chini ya kiwango kila wakati mama anapo omba game.Hii itamfanya mama asimtamani sana dogo hivyo kumuacha. Kosa la dogo akipewa mzigo anasimamia ukucha.Akiendelea hivi walahi mama hatamuacha.
 
Back
Top Bottom