aende kwenye nyombo vya sheria hyo kesi ya kuhujumu mapenzi , ni kifungo no dhamana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo mzee, tunapiga nyungu, tunajifukiza bangi, halafu tunaji-sanitize na gongo, hii ndio lockdown ya uswazi kwa mama muuza.Mkuu Bujibuji, nilikuwa nakusalimu tu..
Hivi mnywa gongo anaweza kupata korona kweli? maana ile inaunguza mapafu na virusi vikikumbana nayo lazima visande. Nawaza tuTupo mzee, tunapiga nyungu, tunajifukiza bangi, halafu tunaji-sanitize na gongo, hii ndio lockdown ya uswazi kwa mama muuza.
Wataalam wa tiba wanasema sanitizer imesheheni kileo, Tena wanasema Coronavirus wanakaa kooni kabla ya kwenda kwenye mapafu, basi sisi tunawakomeshaje hao virusi?
Ndio maana Coronavirus wamechanganyikiwa, wanashindwa kutofautisha papai na mtuHivi mnywa gongo anaweza kupata korona kweli? maana ile inaunguza mapafu na virusi vikikumbana nayo lazima visande. Nawaza tu
Ha ha haNdio maana Coronavirus wamechanganyikiwa, wanashindwa kutofautisha papai na mtu
Ndio maana Coronavirus wamechanganyikiwa, wanashindwa kutofautisha papai na mtu
Kiongozi naweza kukupa MSAADA wa kuwaachanisha kama upo serious unataka akuache Ila ni Kwa njia ya Imani zetu izi za asili( Giza) kama unaitaji lakini kama hautaji pia basi.Habari za wakati huu wakubwa
Naileta kwenu mnisaidie nimshauri huyu kijana
Anasema yeye ni mfanyakazi mwajiriwa serikalini, ana miaka 33 mwaka mmoja uliopita alianzisha mahusiano na mwanamke mmoja mtu mzima 40yrs ambaye kicheo yeye ni mkubwa wake kazini. Baada ya kuwa nae akaja kugundua huyu mama ni mke wa mtu ana watoto 3 ila haishi na mume mumewe anaishi dodoma kikazi.
Baada ya kugundua hayo mwanaume akamwambia kama umeolewa tuishie hapa maana me nataka niwe na mtu ambaye nitakuwa na malengo naye.
Bi mkubwa akawa hataki kila jamaa akitafuta mwanamke mwingine mama yule anamwaribia jamaa anaachwa. Ikafikia wakati mama yule anamtisha kijana hadi kumuua na kwa kuwa yeye ni mkubwa kazini wakati mwingine anaanzisha visa huko kazini ili kumtisha kijana.
Kijana kapata gal mwingne keshamtambulisha kwao na wanapendana wana malengo ya kufunga ndoa ila bi mkubwa bado anamwaribia.
Kijana kaniomba ushauri je amripoti huyu mamma kwa menejiment ofisini au amtafute mume wa huyu dada amwambia ujinga anaomfanyia mkewe au aachane vipi na huyu mama. Mama kapagawa yupo radhi hata kuua ili asikose penz la huyo kijana
Ushauri wenu wakuu nitamshauri jamaa vzuri mkinipa mwongozo.
HahahaAende Takukuru, amshitaki huyo Mama kwa uhujumu mapenzi na kutakatisha mahusiano
Kaka tuchati tuNdio maana Coronavirus wamechanganyikiwa, wanashindwa kutofautisha papai na mtu