Huwez kutuwekea wimbo wao mkali unaoitwa NAACHIA NGAZI.Ngorongoro Heroes - Kambwembwe
Solo- Shabani Wanted , Rythm - Uruka Uvuruge, Bass - Abdallah Ramadhani, Drum -Kejeli Mfaume Waimbaji Kasaloo Kyanga, Kyanga Songa, Mpoyi kalonji , Skassy Kasambula
Source : Zamani Leo
Muimbaji aliyeanza kuimba kwa sauti ya kwanza kwenye wimbo huu wa Naomi ni nani, ni Tino Masinde? Ana sauti nzuri sana.Benovilla Sir Benwaa : Song : Naomi: Mlimani Park Sikinde
Source: Benovilla Anthony